Mama Sinyali Boss la Kariakoo

Kha!kha!,Kwanini wasingemfungulia kesi mahakamani?.
Rahaa ya kukaamuliwa maziwa yawepo,Kama maziwa hakuna ukikamuliwa lazima usikie maumivu Kama vile unakamuliwa damu,na lazima uwehuke kidogo, asikuambie Mtu,wala simlaumu Mama wa Watu! Nakumbuka kipindi Cha nyuma kuna tukio la Mama mmoja huko mbezi kupandaa Juu ya Paa lake baada ya Bank kutaka kupiga mnada Nyumba ambayo Mume alichukua mkopo kinyemela bila ya Mke kujua! Mambo tafrani Maisha yana Siri nzito sana! Ni Mungu tu ndiyo anajua mwisho wa mapambano yetu hapa Duniani!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 

Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.

Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.

Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.

Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.

Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.

Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.

Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.

Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.
Eh kwa appearance yake hakika mumewe ana kuwaga na usiku mrefu
 
Back
Top Bottom