Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,891
- 4,588
nieleweshenimeelewa sana
nieleweshenimeelewa sana
Ngombe wa maziwa !!!Nilikuwa sijui kama mtu anaweza kuwa na kilo 210
Hizo damu za hayo makabila!!Mwenyewe anasema jina lake sinyagile
Nasikia ana damu ya kinyakyusa na kichaga
Sinyagile ni jina la kinyaki
Nanukuu maelezo yake
Moyoni nikasema ndio maana jasiri hivi maana
Labda kwenye hela tuuUnamaanisha huyu bibie sio mashalla?
Acheni uongo, mbona analia ada ya mto Hana.
Sio swali ni jibuu hiloo.Kwani kuna formula maalum ya kuongea na Waziri Mkuu tofauti na Mjumbe wa mtaa!!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimemuangalia mara mbili mbili huyo mama ,,
.itoshe kusema Kuna wanaume wana roho ngumu sn.
Kumpiinda bonge kama huyohadi akamwaga ,
,unatakiwa uwe na majeshi ya kukodi.
Mbona mkorogo hivi? Lakini sisi wanaume jamani!
Hii picha inaonesha umafia upo
Kha!kha!,Kwanini wasingemfungulia kesi mahakamani?.Huyu pia kichwani fyatu kidogo, aliwahi kuvua nguo polisi msimbazi. Polisi ikabidi wamuachie tu
Hiyo sio hoja,mbona Billgates anavaa jinsi mpauko Wakati ni tajiri mkubwa duniani?.kwanza anavaa madela ya buku 9 ya hapo kkoo, utajiri upiiii tenaa???
Km mwanae anasoma Tanganyika International Schools je?.Ada ya pale milioni zaidi ya sabini kwa mwaka.Kwa hiyo usione mtu analialia Kuhusu ada ya mwanae ukadhani ni maskini,uliza Kwanza shule anayosoma huyo mwanae.Acheni uongo, mbona analia ada ya mto Hana.
Jamaa mmoja nikasema watu wengi tumeingia kwenye mkumbo wa kulia Ada wakati Ada zetu zinalipikaKm mwanae anasoma Tanganyika International Schools je?.Ada ya pale milioni zaidi ya sabini kwa mwaka.Kwa hiyo usione mtu analialia Kuhusu ada ya mwanae ukadhani ni maskini,uliza Kwanza shule anayosoma huyo mwanae.
Rahaa ya kukaamuliwa maziwa yawepo,Kama maziwa hakuna ukikamuliwa lazima usikie maumivu Kama vile unakamuliwa damu,na lazima uwehuke kidogo, asikuambie Mtu,wala simlaumu Mama wa Watu! Nakumbuka kipindi Cha nyuma kuna tukio la Mama mmoja huko mbezi kupandaa Juu ya Paa lake baada ya Bank kutaka kupiga mnada Nyumba ambayo Mume alichukua mkopo kinyemela bila ya Mke kujua! Mambo tafrani Maisha yana Siri nzito sana! Ni Mungu tu ndiyo anajua mwisho wa mapambano yetu hapa Duniani!!!!Kha!kha!,Kwanini wasingemfungulia kesi mahakamani?.
Eh kwa appearance yake hakika mumewe ana kuwaga na usiku mrefu
Huyo Mama Sinyali anayetrend ni mama mwenye hela za zake japo zimepungua kidogo. Ni rafiki mkubwa wa Davis Mosha pamoja na mtoto wa Rais Mstaafu awamu ya nne.
Narudia tena huyo mama ni alikuwa na hela sasa hivi zimeshuka kidogo halafu ni mafia, mtoto wa mjini hasa, siwezi kuandika mengi ila Sinyali ni Sinyali kweli hana shida ndogo ndogo.
Siju majumba, magari ya kifahari, huyo kushika milion 300, sijui millioni 600 kwake kawaida tu mbona, nyie endeleni kumwona meme ni li boss hilo jitu.
Kuna kipindi alitukana CCM wadau niishie hapa...akajifanya hawajui, walimshona vizuri akapendeza😄😄😄hana hamu na siasa hadi leo.
Siwezi kuweka full nondo hapa kwa sababu ya heshima ya Sinyali, pia boss wangu Davis Mosha nawakubali.
Sinyali tajiri born town watu wanamuona meme sasa hivi, wangemjua vizuri wangesema hadi wanaume kawapita roho ya ujasiri.
Sinyali we boss kubwa mama la kujiamini, huyo mama ukimzingua jua anakuzengua mara mia 10,000,000 hahhaa.
Wadau bye bwana nawahi nawahi bajaji za Mwenge natoka Posta, baadae ashampoo hapa.