Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 35,373
- 57,042
Hajashindwa kulea.Anaomba mumewe arudi home.Bi sinya kama bi sinya
Mumewe afanye amsaidie kulea mtoto jamani asimuachie peke ake
Hajashindwa kulea.Anaomba mumewe arudi home.Bi sinya kama bi sinya
Mumewe afanye amsaidie kulea mtoto jamani asimuachie peke ake
Kashakua celeb tayar...bongo wala huhitaji akil nyingi kuwa maarufu😂😂😂Bi sinya kama bi sinya
Mumewe afanye amsaidie kulea mtoto jamani asimuachie peke ake
Kasikilize vizuri anataka asaidiwe kulea hana shida naeHajashindwa kulea.Anaomba mumewe arudi home.
😀😀😀simple tuKashakua celeb tayar...bongo wala huhitaji akil nyingi kuwa maarufu😂😂😂
SaaaanaInaumiza Sana,
Uyo dada Anawakilisha vilio vya wengi
HahahahWamualike bungeni
Ova
Msanii huyo hashindwi.Anataka papaa ya bana a-alee mundako na ndako!Kasikilize vizuri anataka asaidiwe kulea hana shida nae
Mtoto hadi amehairisha mwaka
Nani anaweza kumpelekea moto ukalolea?Huyo mmama analialia tu kwasababu ajapata mwanaume wa kumpekekea moto vizuri. Tatizo siyo TRA ni moto.
Mimi hapa rijaliNani anaweza kumpelekea moto ukalolea?
Rafiki yako
KabisaSinyali mtu kazi