Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Wadau,
Mimi nimewahi kwenda kutibiwa pale kwa mama ngoma hospital, yani dokta ngoma he is money oriented yeye ndio specialist wa magonjwa yote katika hospitali yake na yeye ndio bosi,kama hayupo basi huduma inayopatikana pale ni first aid.
Sasa one day nilienda nilikua na matatizo ilikua usiku,na nilitakiwa kufanyiwa ultra sound wale madokta wa zamu akaniambia imefungiwa ofisini kwa bosi (dokta ngoma) so wakashauri wanipe dawa za kutuliza maumivu na dripu mpaka kesho yake asubuhi atakapokuja bosi wao,nikakubali maana hali ilikua tete.
Asubuhi bosi wao alikuja na alichojibu akaniambia nilipie tena kitanda atakuja kunifanyia matibabu jioni,nililipia elfu arobaini nikasuri dokta ngoma alipokuja jioni nikalipia ultra sound laki moja na ishirini the nikapata matibau sasa nikaandikiwa dawa za kuchukua nilioenda kaunta kulipia nikaambiwa dawa ni shiling laki moja na themanini, mmh nikaondoka nikaenda nakiete nikapata zile dawa kwa shilingi elfu thelathini na tano tu.
Sasa najiuliza, hivi dokta Ngoma anatibu wagonjwa au anafanya biashara?
Mimi nimewahi kwenda kutibiwa pale kwa mama ngoma hospital, yani dokta ngoma he is money oriented yeye ndio specialist wa magonjwa yote katika hospitali yake na yeye ndio bosi,kama hayupo basi huduma inayopatikana pale ni first aid.
Sasa one day nilienda nilikua na matatizo ilikua usiku,na nilitakiwa kufanyiwa ultra sound wale madokta wa zamu akaniambia imefungiwa ofisini kwa bosi (dokta ngoma) so wakashauri wanipe dawa za kutuliza maumivu na dripu mpaka kesho yake asubuhi atakapokuja bosi wao,nikakubali maana hali ilikua tete.
Asubuhi bosi wao alikuja na alichojibu akaniambia nilipie tena kitanda atakuja kunifanyia matibabu jioni,nililipia elfu arobaini nikasuri dokta ngoma alipokuja jioni nikalipia ultra sound laki moja na ishirini the nikapata matibau sasa nikaandikiwa dawa za kuchukua nilioenda kaunta kulipia nikaambiwa dawa ni shiling laki moja na themanini, mmh nikaondoka nikaenda nakiete nikapata zile dawa kwa shilingi elfu thelathini na tano tu.
Sasa najiuliza, hivi dokta Ngoma anatibu wagonjwa au anafanya biashara?