Mlifunga ndoa, kama mlifunga ndoa basi nawe toroka
Mkuu huyo mke wako anaishi na Mama yake tu Baba yake hayupo?Kwao nimeenda hayupo na kuna taarifa nimesikia kwamba ameenda nje ya mkoa japo sina uhakika nazo mimi mwenyewe nawaza nimpotezee kwasababu hataki mawasiliano labda siku akihitaji matumizi ya mtoto atanitafuta yeye mwenyewe
Yap yuko na Mama yake tu Baba yake alifariki kipindi mke ni mdogo sana ata hamjui Baba yakeMkuu huyo mke wako anaishi na Mama yake tu Baba yake hayupo?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Nashughulikia ushauri wakoKaa kimya, endelea na Maisha usioige simu Wala kujibu sms, watajileta tu...hakikisha wakijileta wajutie uamuzi wao
Wewe huna dhambi yoyote, mtoto mtafahamiana mbele kwa mbele, fanya mambo mengine kaka, maisha ni zaidi ya haya uliyoandika.Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya
Wewe huna dhambi yoyote, mtoto mtafahamiana mbele kwa mbele, fanya mambo mengine kaka, maisha ni zaidi ya haya uliyoandika.
Umewekwa kwenye kamati na haujui kamati ina lengo gani, wewe cha kufanya endelea kuishi kama hakijatokea kitu, mtoto siku zote atamtafuta baba yake, hata afichwe vipi ukweli utajulikana.
Mbona hujatueleza kwa nini mulipishana maana hiyo ndo sababu, unatuficha chanzo afu unataka ushauri?Asilimia mia moja ni wa kwangu
Moja ya mambo ambayo sihangaikagi nayo ni wanawake, mwanamke akishaniacha nafanya mpaka sherehe...
Mimi kama mama mkwe yuko na mwanae na mjuku hapo wala hata siangaiki kujisumbua maana yuko salama nyumbani, mtoto akikua atamtafuta baba.Kausha mradi unajua yuko kwao endelea na mambo mengine,wakimchoka/akichoka atarudi mwenyewe.
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Chukua hii mkuu bonge la idea. Au kama vipi potezea jumla matapeli hao, alikuja kwenye ndoa kukutapeli tu kaona hutapeliki kaamua kusepa. Piga kimyaHao Mimi ningewapa somo Moja la kukaa kimya wasingeamini kabisa.Hata apige nani wa kwao sipokei mtu akibadili namba napokea namsalimia kistaarabu namwambia hebu kata nikupigie hapo anakula block,Hadi dawa iwaingie utaona wanafunga safari wao bila kuitwa.Halafu wakija usiruhusu kikao kabisa waambie yameisha mwambie mkeo aingie ndani apike ama akufulie nguo.Sasa na wewe jaribu kuwa mwanaume usithubutu kufungua mdomo kuuliza Kwa nini aliondoka na kukufanyia hivo.Kumbuka Hawa wa kwetu ni wanawake wa kiswahili.
Kama Mama kama mtoto....hawana akili wote endelea na maisha yako na utafute kipoozeo kingine.Habarini za usiku wapendwa
Naomba kwa wenye ufahamu na mambo haya wanijuze nifanye nini kwasababu niko njia panda iko hivi mke wangu tulikosana kidogo akaenda kwao amekaa wiki mbili nimeenda kwa lengo la kuona mtoto lakini cha ajabu walipo pata taarifa kwamba naenda tu Mama mkwe amemtorosha mke wangu na wote hawatoi ushirikiano simu hawapokei wala kujibu sms yani ni kama hawataki mawasiliano kabisa na wakati tuna mtoto pamoja
Naomba msaada kwa mwenye uzoefu na mambo haya