Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
She isn't............namega kisela tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
sasa ulikuwa unauliza nini?.............si ungekula hata kimyakimya?
She isn't............namega kisela tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Mh....,!hapa nimechanganyikiwa,kweli huyu ni Maria Roza niliyekuwa nataka kumtumia CV yangu, au kuna mtu mwingine ameiba password yake na sasa anaitumia kumharibia jina mtarajiwa wangu?
Kua uyaone jamani...mama mkwe wa rafiki yangu ambaye pia namuita mama Mkwe kila siku ananinengulia jamani, mara ananikaribisha kwa maongezi na anajua kabisa mie na mke na sijawahi msikia akimsifia mke wangu hata siku moja, ni bado kijana tu na analipa kweli lkn je nimege hili tunda? mie naona kama mtego maana anajua kabisa nampenda mke wangu na akisikia watu wanaongelea mimi na wife anakaa kimya au anaondoka...huyu anataka balaa au sio jamani??
Mfiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirigise!
Unatafuta ushauri JF? unanshangaza.
Hizo tamaa tu fikiria mara 2 umeshasema hataki kumsifia mkeo nadhani huyo ana mpango wa kukuvunjia ndoa yako hana lolote akatafute kikongwe kama yeye.kama una mpango wa kutafuta kipanya cha kunyonga tafuta cha saizi yako na sio jimama hata mkeo akikufuma ajue umeteleza sio vikongwe.hebu acha kabisa wala usije ukathubutu.Kina dada wa JF mbona mwampoteza huyu bwana au nyie mnapenda vizee?
Kamata hiyo, iturumule
We kweli shetani lile number one kabisa kwa hiyo nimsaliti mke wangu?
Kote nakula mkuu kesho mechi...yalojili jumatatu nitamwaga hapa kila kitu...
majibu unayo, na wewe mnengulieKua uyaone jamani...mama mkwe wa rafiki yangu ambaye pia namuita mama Mkwe kila siku ananinengulia jamani, mara ananikaribisha kwa maongezi na anajua kabisa mie na mke na sijawahi msikia akimsifia mke wangu hata siku moja, ni bado kijana tu na analipa kweli lkn je nimege hili tunda? mie naona kama mtego maana anajua kabisa nampenda mke wangu na akisikia watu wanaongelea mimi na wife anakaa kimya au anaondoka...huyu anataka balaa au sio jamani??
Mie nilidhani ni mama wa mkeo kumbe ni rafiki!!!we jilie tu mpka tigo ni ruska!!!
Kua uyaone jamani...mama mkwe wa rafiki yangu ambaye pia namuita mama Mkwe kila siku ananinengulia jamani, mara ananikaribisha kwa maongezi na anajua kabisa mie na mke na sijawahi msikia akimsifia mke wangu hata siku moja, ni bado kijana tu na analipa kweli lkn je nimege hili tunda? mie naona kama mtego maana anajua kabisa nampenda mke wangu na akisikia watu wanaongelea mimi na wife anakaa kimya au anaondoka...huyu anataka balaa au sio jamani??
Duh ngoja nifanye fasta nile hahahahaha wasije mafataki wakaimendea...