Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Na Iwe Hivyo!
Kwani nyie mumeelewa vipi? Yeye kasema sauti yake inamkosha, siyo anamtamani kimapenzi. Watu wanaowaza ngono utawajua tu.
Hivi kashaolewa!!hakika mchungaji anafaidi!loh!ule mwanya wake!!hakika kaumbika
anakusisimua, anakumaliza .... mh ebu weka wazi zaid, je ni maneno ya nyimbo zake yanakuingia akilin au kuna lingine maana wengine hapa vichwa vyetu vigum sana na pia unajua kuwa ni mke wa mchungajiNi mke wa Mchungaji lakini pia ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili.
Mwenzenu kila nikisikia sauti yake nakosa nguvu, mapigo ya moyo yanapiga kwa kasi.
Nikimwona kwenye videos zake ndio kabisa.
Ni mateso bila chuki.
Christina Shusho wanimaliza miye.
View attachment 44092
Ananimaliza kwa njimbo zake na sauti yake nzuri hasa anapoimba vesi za 'kupaa'.anakusisimua, anakumaliza .... mh ebu weka wazi zaid, je ni maneno ya nyimbo zake yanakuingia akilin au kuna lingine maana wengine hapa vichwa vyetu vigum sana na pia unajua kuwa ni mke wa mchungaji
Ananimaliza kwa njimbo zake na sauti yake nzuri hasa anapoimba vesi za 'kupaa'.
Natamani nimkodi angalau aje anakuja nyumbani kwangu atuimbie mimi na familia yangu, nitafurahi sana.
na kazee ka Tra, sio mchungaji
Shusho na Nkone wananibariki sana
Jamani, mi sijaelewa anammalizaje aisee!!!!Una maanisha unataka kumuoa au unataka tamtam tu? Km kumuoa its too late....na km ni tamtam zote ni sawa hata unayopataga hauka tofauti tena waweza kuta uliyoizoea ndo nzuri kuliko ya mama mchungaji......tehNi mateso bila chuki.
Christina Shusho wanimaliza miye.