sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi
Mchunga Ng'ombe wa wapi?
umeona eh!.Nalog offhahaaaaaaaaaaaa yerewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hii kali
yaani siku ya kiama ikifika hatusubiri kusomewa kesi na M/mungu wala nini tunalenga moja kwa moja motoni.Nalog offkwahiyo tuende motoni na raha tumeponda
hahaha we mdinye tu.Nalog offahhh nimejaribu ila nashangaa msisimko ndo unaongezeka
sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi
muambie awe anakuombea wakati unamdinya.Nalog offnaona haka karoho ka evil inakuja kasi
Hama kanisa,sijui nitimize tamaa ya mwili?dah ila kimoyomoyo kuna roho inaniambia nisitende dhambi.
sijui nichague uamuzi upi
wanakwaya wapo ila wananitosa kisa sijui kucheza stepu za kwayaHama kanisa,
Kama mama mchungaji ndo hivyo,basi hilo kanisa tayari lina walakini.
Na wewe kuendelea kuabudu hapo tayari una walakini kwenye imani yako kwasababu kama ungekuwa na imani na mchungaji wako,basi unge tafuta namna ya kumweleza,ikishindikana uhame kanisa.
BTW hakuna wanakwaya?
sasa kumbe unakuwa uko safi kabisa.Nalog offteh teh teh teh tukimaliza ananitubisha
Kwahiyo kwasababu wanakwaya wamekutosa sasa ungependelea mama mchungaji?wanakwaya wapo ila wananitosa kisa sijui kucheza stepu za kwaya
nishapoteza mfuasi mmoja nisingekupa maujanja ya kuomba kuombewa wakati uko juu nafikiri motoni tungekuwa wote.Nalog offsasa si ndo hapo,hata motoni siendeni