Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,514
- 22,000
Kwa wasiomfahamu huyu ndiye mama mchungaji mke wa mchungaji Mc pilipili. Mtumishi amefunguka na kusema jambo kuhusu bifu lake na baba mchungaji.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.