Nashindwa kuamini kama Yutong zauzwa bei namna hii,kama ni kweli,vp kuhusu ma-benz kama ya Dar express ma-Andare(scania),inanishangaza kwa sababu hizi Yutong hata kuchoka zinachoka haraka sana!
huwezi fanikiwa mama anapenda watu wa dini, kwani amejamiiana na Padre ,labda uje kwa gia ya kilokole.pia inataka moyo siyo kazi rahisi ukizingatia sura kama fiat mbaula,k itakuwa kama barabara za mbagala.Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
Bei ya YUTONG 1 ni 170 millions,so times 8Tatizo ni nini? Makinda amekuwa mtumishi wa umma kwa muda gani? Hivi kwa level ya kipato cha makinda kwa miaka yote hii angeshindwa kuwa na bilion kadhaa? Acheni wivu nyie.
Harakati za kuzima upinzani pale bunge usidhani anazifanya bure hawezi kukosa kwenye club ya mafisadi. Naona ndo mambo yameanza kumnyokea baada ya kukubali kuwatumikia mafisadi.
sidhani kama yutong zimefika ml 200 zilipoingia bei yake ilikuwa ml 70 hata kama imepanda inaweza kuwa ml 120 tu.
Scania ni ml 350 hadi ml 400.
Benz labda ml 600 hivi
sidhani kama yutong zimefika ml 200 zilipoingia bei yake ilikuwa ml 70 hata kama imepanda inaweza kuwa ml 120 tu.
Scania ni ml 350 hadi ml 400.
Benz labda ml 600 hivi
kakutuma umtete???sio kweli, mama makinda hana share mle, yale mabasi ni yake msigwa@super feo.yupo kwa biashara muda mrefu anadhaminika, jambo lingine tambueni yutong/mabasi ya kichina ndo yanaingia sokoni so wachina wanakopesha tu ili kuyasambaza sokoni. Kwa muda mrefu tz tumekuwa na mentality kwamba scania ndo gari imara ndio maana wanayatawanya kujitangaza japo pia kufanya biashara. Huyu mama dhaifu wa kuendesha bunge kwa hili hayumo kabisa!
ulitakaa amnunue cameroon??hv si nimesikia serikali imefulia,haina ata fedha za malipo tena kwenye secta nyeti.lakini sikia huyu kanunua yutong.
Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
Kwa chanzo cha kuaminika kabisa bi mkubwa huyu Tangia ameukwaa uspika ameweza kujiwekea hazina yake ya uzeeni kwa kununua yutong nane kwa mkupuo na kuingiza kwenye kampuni ya Super....... ambayo imeanza kushamiri kibiashara. Je amepokea ujira wake wa kusaidia magamba au ndio saving zimejibu???
Safari ya haki ina kazi kweli.
Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
Makinda ni tunda la mafisadi na anachofanya ndicho kielelezo cha hali halisi. Huwezi kuamini kuwa kwenye karne hii ya usomi,kihiyo kama Makinda angeweza kupendekezwa kuchukua ya msomi na mkereketwa wa haki kama Samuel Sitta. Mabunge yote ya nchi za Afrika Mashariki yanaendeshwa na maspika wasomi tena wa sheria. Ni Tanzania pekee tunapoendeshwa na kihiyo chaguo la mafisadi. Hivi kweli huyu mama ana mume au ni kanunga ka kawaida? Bunge letu liko mikononi mwa mhuni wa kawaida akifanya uhuni wa kawaida.