Nashindwa kuamini kama Yutong zauzwa bei namna hii,kama ni kweli,vp kuhusu ma-benz kama ya Dar express ma-Andare(scania),inanishangaza kwa sababu hizi Yutong hata kuchoka zinachoka haraka sana!Tumekwisha hata huyu naye yumo? This is within one year? Mpaka atoke si atakuwa ameaanzisha shirika la ndege au hata benki? Ninavyofaham mimi yuotong moja is not less than million mia moja na arobain 140,000,000/= kwa hiyo ukizidisha mara 8 yaani 140,000,000*8=1,120,000,000/= yaani bilion moja na milioni mia moja na ishirini na sasa ana mwaka mmoja tu kazini inamaana kila mwezi amesave milioni 93 point something kwa ajiri ya kununua haya mabasi. Swali ni je analipwa shilingi ngapi? Au kama ameyakopa amepata wapi security ya kumuwezesha kukopa mali zote hizo wakati sisi huku mtaani hata ukitaka kukopa milion kumi tu unaambiwa lete hati ya nyumba na wakiithaminisha watakwambia thamani yake ni milion 6! Help us God
Tatizo ni nini? Makinda amekuwa mtumishi wa umma kwa muda gani? Hivi kwa level ya kipato cha makinda kwa miaka yote hii angeshindwa kuwa na bilion kadhaa? Acheni wivu nyie.
pale udom kachukua ekari 70 kuzunguka chuo sijui atalifanyia nini,awaulize akina mobutu waliomiliki nyumba za vyumba 100 vyote gold furnished.mwingine bokasa alikuwa na kiti cha gold na juzi kanali alikuwa na mguu wa kuku pure gold
Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
Sio siri, kaweka magari yake kwa SUPA FEO
Kitakachokutokea ni kwamba mimba hutomjaza na wewe buji nguvu zako za kiume ndo zitafikia kikomo siku hiyo hiyo.Kakaa...jitoe mhanga,ila naskia kumjaza kikongwe mimba ni kaazi kweli.
Kilalakheri!
Hapa hatuangalii kakaa muda gani Madarakani, sawa ni wa muda mrefu lakini waliomuweka madarakani awatumikie kawafanyia nini...? Ndugu sikudanganyi nenda Njombe kusini katika jimbo lake, watu wake (Wabena) wanauhaba wa maji safi na salama hasa Njombe Mjini, Hospitali ya Kibena haina huduma nzuri, madawa hakuna kila kukicha ni vifo, barabara mbovu, yani ni aibu kwa muda aliokaa madarakani.