Asalaam alaykum wana jamii
nipo kwenye wakati mgumu wa maisha nashindwa kuamua, mimi ni msomi wa shahada mbili sasa na nina miaka 30, naitaji kuolewa na kuwa na watoto na familia shida yangu ni kwamba kila ninapopeleka mwanaume nyumbani anakasoro, nakumbuka mwaka 2003 nilimpata kijana mmoja ila hakuwa msomi ila nilimpenda sana kwavile alikuwa ananipenda naamini , hakuwa tajiri ila alikuwa na upendo, kibaya zaidi mama yangu alipogundua akanambia hamtaki kijana uyo kwa vile haendani na hazi yangu maana yeye anatupa pesa za kusomesha , basi nikawa naishi nae kiugu the result tulitengana kwa vile hakuwa mwaminifu ila sio umasikini, 2005 nikampata kijana mwingine ambaye yeye alikuwa na pesa sana mama yangu alifurahi kwa vile pesa ndogo ndogo hazimchengi nae alikuwa na upendo nikapenda awe mume wangu , kwa elimu ni darasa la saba, ikabidi aanze process za harusi 2007 mwanzoni , mzee wangu akauliza uyo mkwe wa aina gani maana anaelimu gani baada ya kuambiwa darasa la saba akasema hamtaki anamtaka msomi, basi kwa kuheshimu wazazi ikabidi ndoa ivunjwe , ila tulliendelea na uhusiano mpaka pale niliponda USA kuchukuwa shahasa yapili.
niwapo uko nilijuwa kuwa natakiwa nitafute mume msomi ndio baba yangu aniozeshe nilitumia jitihada kumwambia mwenzangu aende shule maana bado nampenda aligoma, basi ikabidi nifanye maamuzi ya kuwa na msomi kweli nilimpata na nikaanza maisha yakawa mazuri, tatizo likaja kwake yeye anasifa zote ila wakati mipango ya harusi inataka ianze nikagundua kuwa ni mwanaume makaya kushinda maelezo wala hana mwiko , kila kitu anakula
kweli njilikuwa dilema nikawa sina jibu na mipango ya ndoa nikagailisha . nimepatw na mawazo yule asiesoma bado nampenda na kanambia kama nitakubali hali yake nimwambie tuishi ila baba ndio ivyo anataka msomi, nami naitaji familia jamani naomba ushauri hapa nifanyeje?
naitwa dada najma shida tangu nikwamba napata tabu kwenye maamuzi maana mama
nipo kwenye wakati mgumu wa maisha nashindwa kuamua, mimi ni msomi wa shahada mbili sasa na nina miaka 30, naitaji kuolewa na kuwa na watoto na familia shida yangu ni kwamba kila ninapopeleka mwanaume nyumbani anakasoro, nakumbuka mwaka 2003 nilimpata kijana mmoja ila hakuwa msomi ila nilimpenda sana kwavile alikuwa ananipenda naamini , hakuwa tajiri ila alikuwa na upendo, kibaya zaidi mama yangu alipogundua akanambia hamtaki kijana uyo kwa vile haendani na hazi yangu maana yeye anatupa pesa za kusomesha , basi nikawa naishi nae kiugu the result tulitengana kwa vile hakuwa mwaminifu ila sio umasikini, 2005 nikampata kijana mwingine ambaye yeye alikuwa na pesa sana mama yangu alifurahi kwa vile pesa ndogo ndogo hazimchengi nae alikuwa na upendo nikapenda awe mume wangu , kwa elimu ni darasa la saba, ikabidi aanze process za harusi 2007 mwanzoni , mzee wangu akauliza uyo mkwe wa aina gani maana anaelimu gani baada ya kuambiwa darasa la saba akasema hamtaki anamtaka msomi, basi kwa kuheshimu wazazi ikabidi ndoa ivunjwe , ila tulliendelea na uhusiano mpaka pale niliponda USA kuchukuwa shahasa yapili.
niwapo uko nilijuwa kuwa natakiwa nitafute mume msomi ndio baba yangu aniozeshe nilitumia jitihada kumwambia mwenzangu aende shule maana bado nampenda aligoma, basi ikabidi nifanye maamuzi ya kuwa na msomi kweli nilimpata na nikaanza maisha yakawa mazuri, tatizo likaja kwake yeye anasifa zote ila wakati mipango ya harusi inataka ianze nikagundua kuwa ni mwanaume makaya kushinda maelezo wala hana mwiko , kila kitu anakula
kweli njilikuwa dilema nikawa sina jibu na mipango ya ndoa nikagailisha . nimepatw na mawazo yule asiesoma bado nampenda na kanambia kama nitakubali hali yake nimwambie tuishi ila baba ndio ivyo anataka msomi, nami naitaji familia jamani naomba ushauri hapa nifanyeje?
naitwa dada najma shida tangu nikwamba napata tabu kwenye maamuzi maana mama