TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

View attachment 2350534

Malkia wa Uingereza, Elizabeth II amefariki dunia akiwa na miaka 96 huku akiwa ni Kiongozi wa Kifalme aliyetawala kwa muda mrefu zaidi (miaka 70) katika historia ya Taifa hilo

Imeelezwa kuwa Kiongozi huyo ambaye pia ameweka historia ya kuwa Kiongozi wa Nchi aliyeongoza akiwa na umri mkubwa amefariki mchana wa leo

Kufuatia kifo chake, mtoto wake mkubwa, Mwanamfalme Charles, ndiye anayerithi mikoba ya utawala

8:30
============================

Kasri la Buckingham imesema kuwa Malkia Elizabeth II yuko chini ya uangalizi baada ya hali yake kiafya kuwatia wasiwasi madaktari wake.

Malkia mwenye miaka 96 alilazimika kughairi mkutano wa mtandaoni uliopangwa na Waziri Mkuu Liz Truss na tayari Mwanamfalme Charles na Prince William wameitwa kwenye makazi ya Malkia.

3:48
============================

The Queen is under medical supervision after doctors became concerned for her health this morning, Buckingham Palace revealed today, as the Prince of Wales, Camilla and the Duke of Cambridge to be with the 96-year-old monarch.

Her Majesty's immediate family members have been informed about the downturn, her spokesman said, leading to her two heirs - Charles and William - going to her bedside amid escalating fears for the monarch's wellbeing.

Prince Andrew, Princess Anne and Prince Edward and his wife Sophie are all on their way with one of the Royal Family's helicopters landing in the grounds of Her Majesty's Scottish home this morning.

A royal spokesman said: 'Following further evaluation this morning, The Queen's doctors are concerned for Her Majesty's health and have recommended she remain under medical supervision. The Queen remains comfortable and at Balmoral.'

A statement about the Queen's health is exceptionally rare and suggests the situation is very serious. One insider said: 'This is deeply worrying. The Palace don't normally do this'.

Minutes before the statement, the new Prime Minister Liz Truss was handed a note in the Commons informing her of the development as she was revealing her plans to cap energy bills for the next two years.

Ms Truss said 'the whole country will be deeply concerned by the news from Buckingham Palace this lunchtime' adding 'my thoughts – and the thoughts of people across our United Kingdom – are with Her Majesty The Queen and her family at this time'.

DAILYMAIL
Nenda mama nenda. Kamsalimie rafiki yako kipenzi JK Nyerere.
 
Mkuu ugonjwa wa malkia haukutangazwa siku nyingi ni jana tu na kisha msiba. Au kuna sehemu walitangaza wiki iliyopita? naomba link

Pia hakukua na wapinzani waliokua wanamfata fata na kzodoa malkia na kuuliza uliza alipo

Kifo kinaogopwa na mtu yeyote yule. Kuna tofauti kati ya ufalme na urais mfalme wanarithi na Charles ilikua haki yake hata bila baraka za malkia,angeukata tu Charles angeutwaa uking kama sio yeye vasi william na dunia nzima ililijua hilo mapema wala sio suprise. Na kwa Tanzania rais akiukata tu naibu anakua rais na hio iko wazi kwenye katiba haijafichwa
Malkia aliugua Corona mwezi wa pili mwaka huu na aliletwa Windsor kutoka Balmoral
Pia mwaka jana aliugua sana akaambiwa abadili lifestyle yake na kufutwa ziara yake ya Ireland

Hali yake ikazidi kuwa mbaya ingawa alikuwa anaonekana kwa nadra sana

Kweli Charles tulijua atakuwa Mfalme na Malkia aliongelea hilo kuwa mwanae ndio atamrithi ingawa linajulikana hilo

Nasema hivyo kufananisha na sisi kuwa ni tofauti na wenzetu ingawa kifo kinatisha ila wanajiandaa sana hata watu wa kawaida
 
Navyowajua Waingereza, hili tukio litatengenezewa habari mpaka mdhani ni msiba wa Dunia. Yaani hata ikatokea mmoja wa Mwanamfalme akatoa chozi katika jicho moja itakuwa habari kubwa sana, tena waandishi wanaweza kuelezea nama tukio la namna hiyo lilivyotokea miaka zaidi ya mia moja iliyopita na kumuelezea huyo Mwanamfalme kama Mtu mwenye moyo wa kipekee na mkarimu sana na kwamba msiba umemuumiza sana na yupo katika uangalizi maalum.
 
Navyowajua Waingereza, hili tukio litatengenezewa habari mpaka mdhani ni msiba wa Dunia. Yaani hata ikatokea mmoja wa Mwanamfalme akatoa chozi katika jicho moja itakuwa habari kubwa sana, tena waandishi wanaweza kuelezea nama tukio la namna hiyo lilivyotokea miaka zaidi ya mia moja iliyopita na kumuelezea huyo Mwanamfalme kama Mtu mwenye moyo wa kipekee na mkarimu sana na kwamba msiba umemuumiza sana na yupo katika uangalizi maalum.
Mkuu hapo kuna biashara kubwa sana inakuja
Mahoteli mengi yao
Duke of Westminster family tu Wanahodhi £10b ya utajiri
 
Yani nipo mjini hapa hapa fully Internet, DStv and everything lakini hii Habari ndio naiona saa hii, (like for really?) utadhani kafa mwanakijiji wa Katavi huko anyways R.I.P
 
Huyo atakayerithi nafasi yake ana shavu haswa, kuna watu wamezaliwa wakiwa na vismati aiseee.
Sisi wenye Maisha ya juu ni kawaida yetu kupenda Maisha ya chini shavu tyuu tangia utoto!!hatujuagi km ilo ni shavu. yaani nchi yote ni yangu tyuu!...ila wamezoea mpaka wanaona ni kero!...….wanatamani Maisha Duni!

Ndo binadamu tulivyo! leo mie niko Australia, mpaka sasa sijala chochote! lkn mwana Kijiji ananiona Bonge la Bahati, shavu dodo! uuumbe holaa! wanaugua, wanakosana, wanagombana, wanakamatana uchawi,

umbea, kusingiziana, kuibiana vyupi hasa wake zao, kauchoyo uchoyo, kula sana vyakula vyote kunako friji, kuongea sana mpaka mate yanatoka mdomoni hasa mke wa William anaudhi akiongea!

af ana madharau sana kwa vile kamzaa Mfalme wa bidaye! alikuwa ana mdharau mke wa Harry kuwa alikuwa CD, pia ana asili ya nyani weusi!.....ana mbagua mnoo mpaka sasa,

ila sema tu mmewe kakomaa ivoivo! ubinafsi, mara huyu ananiona hivi mara vile chuki za wastani zipo sana tu! pia si unaona Harry na mkewe na watoto mpaka wamesepa kwenye castry,

wako USA, km raia tu! sasa ndo ujue hata huko napo pachungu, unatakiwa uwe na akili ili uyaishi hayo Maisha!...ila matatizo yao yanasuruhishwa huko huko!...kusema kweli niliamua kuondoka hapo kwenye familia ya kifalme!

Nilijiuliza sana km wao weupe wana dharauliana je mie mweusi??? hataaa!
 
Angalia BBC na channels za mambele zimejaa hizo habari. Kisha nenda yahoo pia
Yani nipo mjini hapa hapa fully Internet, DStv and everything lakini hii Habari ndio naiona saa hii, (like for really?) utadhani kafa mwanakijiji wa Katavi huko anyways R.I.P
 
1662718646221.png


Shedding tears for your bloodsucker is a sure sign of stockholm syndrome!
 
Harry tena? Charles ndo atakoma maana uking hauwezi cha pombe yule na Camilla wake ...wanapiga bia mpaka inasema nisamehe jamani
Harry si ndiyo alikuwa Mjukuu wa Bibi kipenzi....

Sasa anaanza kuyaishi maisha bila yeye...
Baba yake mwenyewe ndiyo huyo saa mbovu....Akili ameshikiwa na Camilla..
 
Back
Top Bottom