Camilla is a Queen consort. Not a Queen in her own right. On the day Charles dies she will be a Queen Dowager.Philip mwenyewe hakuwa king,
Hawa wanakuwa na mmoja tu either king or queen not both
Camilla is a Queen consort. Not a Queen in her own right. On the day Charles dies she will be a Queen Dowager.Philip mwenyewe hakuwa king,
Hawa wanakuwa na mmoja tu either king or queen not both
Hiyo ni demokrasia ambayo wanaiishi Waingereza.Duh Malema! Kuna jambo la kutazama hapa.
Halafu Bado Kuna Kenge wanalazimisha mataifa mengine yaachane na ufalmeRasmi watoto wa Harry wanakua Prince na Princess.
Wanaomboleza na kulia
Kafariki na kimalikia chake
Hilo nalijua na ndio anaebariki baraza liundweHapana ile kazi ya kumpa mkono (sawa na ruhusa) Waziri Mkuu mpya hufanywa na Queen tu hakuna delegation.
Sitaki kucheka kwani bado naombolezaSasa unataka Malkia awe anazurua mtaani,yuko Buckingham.palace akichapa kazi.
King Charles wa TatuNi kwamba hatunaye tena.
Sasa ni kuwa atapewa Prince William au?
Sitaki kucheka kwani bado naomboleza
Ngoja tumzike baada ya siku 10
Hebu angalia wenzetu walianza kuongelea bado akiwa hai kuwa je akifa nani atakuwa Mfalme
Na yeye alibariki na kumpa Charles awe Mfalme
Waafrika wanaogopa sana kifo especially viongozi
Hivi angesema Rais anaumwa angepungukiwa nini
Halafu Bado Kuna Kenge wanalazimisha mataifa mengine yaachane na ufalme
Inabidi majirani warudi kwenye lugha za asiliKafariki na kimalikia chake
Achana na story za kusadikika.hatimaye amefariki....muhimili wa zile familia 13 za kishetani zinazotawala dunia.
Pambana na umasikini wako, huo muda unaopoteza kusikiliza/kutazama CD za maustaadhi wasio na uelewa wowote utaukumbuka uzeeni.Hatimaye Illuminat wamepoteza moja ya member wao mkubwa. Taarifa njema kwangu
Akili ndogo sana, utajitambua siku utapoacha kushinda kwenye vijiwe vya kahawa. Hiyo chuki dhidi ya watu waliofanikiwa haitakusaidia.Una uhakika gan kama mie ni kijana wa nchi yako? Fvck yov
Na ukitaka kukosana naye mwambie habari za matibabu ya hospital au bimasasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.