Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,052
- 94,756
Yuko over 70, ni mtu mzima hasa. AnajielewaHarry tena? Charles ndo atakoma maana uking hauwezi cha pombe yule na Camilla wake ...wanapiga bia mpaka inasema nisamehe jamani
Yuko over 70, ni mtu mzima hasa. AnajielewaHarry tena? Charles ndo atakoma maana uking hauwezi cha pombe yule na Camilla wake ...wanapiga bia mpaka inasema nisamehe jamani
...Msiba huo mzito?
Mhhh...kwamba ilipangwa hii au Vipi!?
Ben yuko wapi arif?Kifo kimebàki kuwa msumari wa Moto ktk maisha ya binadam. Mungu atupe kupenda watu na sio vitu. RIP Malikia
Duh Malema! Kuna jambo la kutazama hapa.
Hivi Carls ndiye wa ishu za Kisiwa cha jamaa wa Marekani waliyesema kajiua gerezani? Au mtoto wake?Apumzike kwa amani japo Ashakula kula chunvi ya kutosha, acha charls naye atambe
Vyuma havijataka fitina na uzandiki wa wanasiasa wa kiafrika wa kumung'unya maneno na kumsifia marehem eti kwa kwa saabu aliyekufa ni malikia😄 na wameweka namba zao kwa wooote wenye maswali🙌🙌🙌
Kuna watanzania eti wanajifanya kulia hadi macho kuvimba😁😁😁😁Vyuma havijataka fitina na uzandiki wa wanasiasa wa kiafrika wa kumung'unya maneno na kumsifia marehem eti kwa kwa saabu aliyekufa ni malikia😄 na wameweka namba zao kwa wooote wenye maswali🙌🙌🙌
Hapa ssasa huu uzi nitausoma.. Nilijaribu kujuita nikawa naona mauza uza tu.Harry tena? Charles ndo atakoma maana uking hauwezi cha pombe yule na Camilla wake ...wanapiga bia mpaka inasema nisamehe jamani
South Africa wanatumia bangi ya Swaziland na bangi ya Malawi, hivyo bado sijaelewa siri ya bangi ya Malawi kuwa ndio chaguo namba moja la wavuta bangi, huenda Malema akatupa jibu.