bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,548
- 7,091
Huku ni matumizi ya nguvu tu kama huyo bibi yako. Si unaona hata wajukuu wake shida tupu.Mkuu stress gan wakat hachaguliwi na wananchi,bibi yangu stress zake angemuazima malkia ,nafikir hats malkia asingefikisha miaka 50 ,huku kwetu jua linachoma had mifuko
Yule kijana wake Andrew shida tu, mjukuu wake Harry ndiyo hivyo ameamua kuoa mjane coloured, huku uchumi ukiwa katika hali ngumu. Anatawala kwa remote (vitu vingi lazima vipate go ahead kutoka kwake kabla ya utekelezaji)