Ni jamaa mmoja anakaa Mbagala Zakhem (Zakiem), anapenda kushinda na bagharashia pale karibu na kituo cha daladala.
duhu. nimjaye ni mpambanaji. hachoki na mstahamilivu
Ni jamaa mmoja anakaa Mbagala Zakhem (Zakiem), anapenda kushinda na bagharashia pale karibu na kituo cha daladala.
lat ndie mama watoto wa hiyo nyumba
MS ... jamaa (RIP) alikua analipa dola ngapi kwa mwezi pale Abbottabad....? ...........haaa haaaa haaaaaaaa
Samirnasri,
Malaria Sugu pia hufupishwa MS ndiye Rais wa JF
Akipita yeye, members wote wa JF hupaswa wasimame kumpigia salute.(ki aina aina)
Ni mcheshi, mpenda watu, ana watani wengi humu JF
Anaposafirishwa na Mods, watu hum-miss sana.
Inavyosemwa humuJF ni kuwa mara nyengine huwa anatokea katika mavazi ya mtu wa kawaida na mara nyengine huwa katika official suit.
Msalimie tu, atakuitikia.
Ni mmoja wa members wanaouchangamsha ukumbi.
????????ni mimi mkweli na muwazi
<br />Wana JF tangu nimejiunga nimekua nikiona contributions nyingi zinagusia neno malaria sugu. Je has it got something to do with mradi wa sugu wa malaria or? Naomba chimbuko ya neno hili na sababu zinazopelekea neno malaria sugu kutokea mara kwa mara kwenye michango ya watu.
pole kwa kujivua gamba...bado kujivua ngozi....!!ni mimi mkweli na muwazi