Makurunge Bagamoyo: Vurugu Kati ya Mwekezaji na Wananchi Baada ya Wananchi kuvamia Ardhi ya Mwekezaji

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,287
9,923
Hali sio shwari Maeneo ya Makurunge kutokana na vurugu kati ya Mwekezaji Mika Meat na wananchi.

Vurugu hizo zimepelekwa baadhi ya wananchi kuumia na wengine kupelekwa hospital.

Vurugu hizo zimeanza kama wiki mbili zilizopita baada ya wananchi kuvamia shamba la mwekezaji na kudai kubwa ni eneo leo.

Mwekezaji huyo ambaye inasemekana alinunua dhamana hilo toka kwa Azania aliamua kuzungusha eneo hilo fence hali iliyopelekea baadhi ya wananchi walivamia kujikuta wapo ndani ya shamba hilo ndipo vurugu zilipoanza kwa wananchi kuanza kukata fence hiyo.

Hali hiyo iliendelea kwa tete hasa jana baada ya mwekezaji kuamua kuja na mabaunsa na askari kuweka Doria eneo hilo hata hivyo wananchi hao walikusanya na toka sehemu mbalimbali na kuja kupambana na mabaunsa hao hali iliyoplemapigano kwa kutumia silaha za mapaka kusababisha baadhi ya wananchi kuumizwa vibaya usiku wa kuamkia leo na baadhi yao kukimbizwa hospitali.

Hata hivyo hali bado sio shwari kwani hata watu wasiohusika wanashindwa kwenda maeneo hayo kuhofia usalama wao na wengine wenye maeneo hayo wanashindwa kufanya shughuli zao.
 
Charles Hilal anakuja kufafanua tena,mlishaambiwa hiyo ni ardhi ya zanzibar
 
Ukanda wa bagamoyo unatisha adse ....... mambo kama haya yanapelekea watu kuwa waoga kununua viwanja huko
 
Hali sio shwari Maeneo ya Makurunge kutokana na vurugu kati ya Mwekezaji Mika Meat na wananchi.

Vurugu hizo zimepelekwa baadhi ya wananchi kuumia na wengine kupelekwa hospital.

Vurugu hizo zimeanza kama wiki mbili zilizopita baada ya wananchi kuvamia shamba la mwekezaji na kudai kubwa ni eneo leo.

Mwekezaji huyo ambaye inasemekana alinunua dhamana hilo toka kwa Azania aliamua kuzungusha eneo hilo fence hali iliyopelekea baadhi ya wananchi walivamia kujikuta wapo ndani ya shamba hilo ndipo vurugu zilipoanza kwa wananchi kuanza kukata fence hiyo.

Hali hiyo iliendelea kwa tete hasa jana baada ya mwekezaji kuamua kuja na mabaunsa na askari kuweka Doria eneo hilo hata hivyo wananchi hao walikusanya na toka sehemu mbalimbali na kuja kupambana na mabaunsa hao hali iliyoplemapigano kwa kutumia silaha za mapaka kusababisha baadhi ya wananchi kuumizwa vibaya usiku wa kuamkia leo na baadhi yao kukimbizwa hospitali.

Hata hivyo hali bado sio shwari kwani hata watu wasiohusika wanashindwa kwenda maeneo hayo kuhofia usalama wao na wengine wenye maeneo hayo wanashindwa kufanya shughuli zao.
Maisha magumu hufanya hata wasio na issue za maeneo kufanya vurugu tuu siku zisonge!
 
Muwekezaji huyo ni. Mzambia mkuu?

Ndio kiongozi ni mzambia ambae hatanii kwenye kuwekeza bizaa zoooote zitokanazo na nyama ya ngombe yuko vzr mnoooo kama sio 90% ya zambia analisha nyama basi 95%.

Anafuga ngombe ananenepesha anazalisha kisha anachinja kaja full mazima na ndio aliko upatia utajiri wake.

Hapo mjini Lusaka kajaza mabucha yake kama vituo vya kupigia kula na mkoani MONGU pia sio kitoto. Nikauliza taarifa zake ndio nikapewa kua anataka kuja tanganyika naona kafika tanganyika kufanya mapinduzi ya nyama y ngombe
 
Hali sio shwari Maeneo ya Makurunge kutokana na vurugu kati ya Mwekezaji Mika Meat na wananchi.

Vurugu hizo zimepelekwa baadhi ya wananchi kuumia na wengine kupelekwa hospital.

Vurugu hizo zimeanza kama wiki mbili zilizopita baada ya wananchi kuvamia shamba la mwekezaji na kudai kubwa ni eneo leo.

Mwekezaji huyo ambaye inasemekana alinunua dhamana hilo toka kwa Azania aliamua kuzungusha eneo hilo fence hali iliyopelekea baadhi ya wananchi walivamia kujikuta wapo ndani ya shamba hilo ndipo vurugu zilipoanza kwa wananchi kuanza kukata fence hiyo.

Hali hiyo iliendelea kwa tete hasa jana baada ya mwekezaji kuamua kuja na mabaunsa na askari kuweka Doria eneo hilo hata hivyo wananchi hao walikusanya na toka sehemu mbalimbali na kuja kupambana na mabaunsa hao hali iliyoplemapigano kwa kutumia silaha za mapaka kusababisha baadhi ya wananchi kuumizwa vibaya usiku wa kuamkia leo na baadhi yao kukimbizwa hospitali.

Hata hivyo hali bado sio shwari kwani hata watu wasiohusika wanashindwa kwenda maeneo hayo kuhofia usalama wao na wengine wenye maeneo hayo wanashindwa kufanya shughuli zao.
Utawala ukiwa ktk misingi ya uovu huongeza maasi kwenye jamii
 
Back
Top Bottom