Makosa saba wafanyayo wasichana ambayo huwafanya wachelewe kuolewa !!!!

duh! Kumbe ni mmachame, basi nimeghairi hata sitaki kumdanganya tena
mi natoka mwanga sehemu moja inaitwa kihurio!
wewe nani aolewe na mtu ya huko bahili hela ya saluni lazima uattach na profoma invoice then upeleke na receipt? Na chenji duuuh weweeee
 
wewe nani aolewe na mtu ya huko bahili hela ya saluni lazima
uattach na profoma invoice then upeleke na receipt? Na chenji duuuh weweeee
Kule unakotoka si ndo nasikia MUNAWAGADAFI wanaume
wakishapata vijisenti?
 
huyo lazima atakuwa kaka yako wa baba mkubwa au mdogo!!

Be realistic bana. We huna majirani tofauti na ndugu zako? Hata kama kijiji kimetawaliwa na ukoo wenu, huwezi kosa kijiji cha jirani coz kabila halikomei mwisho wa ukoo wenu tu. We hujawahi ona watu wanapanda baiskeli kwenda kuchumbia kijiji cha jirani au we hujawahi kuishi kijijini? Embu njoo huku kijijini kwetu usafishe macho!!
 
Sijui wao wanachukuliaje! Ila nahisi watakuwa wanachukulia lazima ndo maana wanajaribu kuforce na wenzao waolewe!!

weye binti ikishafika 30's mwanamke akishaona ambition zake zimekaa vizuri hutaka kuolewa hapo ndo mziki nani akuoe umri huo? Ndo unakuja JF kudhihakiwa kwenye love connect kuolewa na kuoa muhimu kwani alieweka huo utaratibu mungu muumba acheni Uanaharakati
 
mh kuna kaukweli, mie zamani nilikuwa nachagua kweli nilikuwa nataka mwanaume mrefu na awe msukuma... hii kitu ilinipotezea muda sana na hata nilipompata ckufaidi kama nilivyokuwa nategemea
Bantu girl hapa umenichekesha sana!
 
  • baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
  • baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
  • baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
  • baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
  • baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
  • baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
  • baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!

Hiyo ya kujiona daraja la juu ishanikumba, iliniuma sana alafu ikaniacha na roho mbaya sana, nlichukia madem wote! It took me 2 yrs to return to normal!
 
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa
 
Kuolewa hakuna mwisho,hata ukiolewa na 78 yrs bado ni ndoa.........have fun,love yourself and do what makes you the happiest,life is short and there is no guarantee that when married everything will be smooth.......chelewa as much as you can,when you are comfortable and you meet someone.....go ahead!!

Novelist utopian ideas na uzungu ushakuharibu wewe,just come back to reality kibongo bongo...kama unaishi Tanzania,regardless ni Masaki au Manzese halafu umri wa kuolewa ndio huo halafu ndio hakieleweki,mziki wake sio mdogo....usikompee jamii ya kibongo na za mbele hata kidogo.
 
Embu kwendeni zenu huko! Kila siku mmekazana kusakama wadada ambao hawajaolewa, hivi hamuwaoni wale mlowatelekeza huko mitaani na watoto? Sijaona hata mmoja akiconfess hapa wengi mnakimbilia kutuhumu, haya na hao mlowatelekeza/ wazalisha watoto halafu mkawaacha wanahangaika huko, mmemuachia nani awaoe? Au ndo kusema nyie watu mnafanyaga mazuri sana? Kwa hiyo mtu ajiforce tu kuolewa eti kisa umri unakwenda na warika lake watakuwa wameshaoa? Msituletee hadithi zenu za abunuasi hapa, kuolewa is not mandatory its an option na haina specific age acheni kukariri!!! Let a person get married when she is read na sio kwa mazoea! Aiyaa......!!!!

Jifariji mama!Just saying......
 
Waoaji wenyewe hatuoi ovyo ovyo basi wadada wengne wana capitalize kwa kukosa wakuwaoa eti kwani kuolewa lazima? We sema umekwama kuolewa na kuoa ni heshima kubwa kwa mwanadamu bado mnapinga? Huu u feminist unakuja kuwamaliza kisaikolojia hasa wasomi masista duu ukija taka olewa ndo utajua kuwa ukipata chance ya ndoa itumie na humu jf mnazuga tu mnapenda kuolewa sema mmekwama au vigezo hamna vya kuolewa...aahaaa ahaaaaa

Hahahhaahhahaha! Pole sana kwa fikra zako za kichovu! Hujui wewe ukimuona hana vigezo vya kuolewa kuna mwenzio anamuona ana vigezo vyote na anamtafuta kwa kila namna?
 
Back
Top Bottom