Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Watu wengi tuna-overlook hukumu ya Kigoma Mjini iliyofunguliwa Ally Mleh (CDM) akipinga ushindi wa mgombea wa CCM, Peter Serukamba nakumbuka ilitupiliwa mbali, na kesi ya Mkosamali wa NCCR jimbo la Muhambwe.Leo inangojewa kwa hamu kwa CCM na CDM kwani mpaka sasa ktk kesi za kupinga ubunge CCM ineshinda mechi za Arusha (Lema) pekee na wamepigwa chini Sumbawanga, Bihalamuro na Singida na leo inaelekea CDM kuendeleza ushindi. Wakati huohuo Ubungo na Igunga zangojewa. Ifahamike wizara ya sheria imezitaka mahakama kumaliza kesi zote tarehe 4/5/2012
Naelekea mahakamani kwa Updates zote. Kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili haijalishi