The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Namkubali sana huyu kijana japo natamani agombee urais mwaka 2025 kwa tiketi ya ukawa nadhani anaweza kufanya makubwa sana kuliko akiwa ccm ujasiri alionao na uthubutu wake wa kufanya mambo ndiyo silaha mhm ktk uongozi.