Matulanya Mputa
Senior Member
- Aug 14, 2023
- 105
- 203
Chama cha mapinduzi CCM toka kimeanzishwa hakina utamaduni wa kuvuliwa nguo, hata babu zetu waliotangulia katika makaburi ya uko ginigi wanalijua ilo.
Ukumbi wa Chimwaga Dodoma una historia ungekuwa unasema ungesema. Lakini kwakuwa hauna historia ya kusema hauwezi sema.
Leo Makonda kijana toka kwa mashemeji zangu wasukuma, nawapa kongole sana, lakini pia poleni sana kwakua Makonda ameenda kuwavua nguo wazee, ambao ni CCM ,kamvua nguo raisi Samia Suluhu Hassani, na viongozi wengi wa CCM hasa awamu ya sita kuwa wameshindwa kufanya kazi .
Viongozi na Serikali ya awamu ya sita imeshindwa kutatua shida za watanzania.
Hivyo basi leo CCM wamechutama uku wakitafakari je Makonda ndiyo CCM huyu au CCM nyingine.
Mambo ni mengi ila Makonda atavuka salama? Manake nimepita kwenye Corido za njia ya kuelekea Ginigi wazee wa sharubu na Itifaki wanasema Makonda anaenda vuka mstari, wa chama,na chama hakina Itikadi za kukosoana, kusema ukweli, wala kunyosheana vidole.
Wazee wa sharubu wanasema huu ujasiri katoa wapi, haoni leo anaenda kukiua chama, katoa siri nje na nani ataenda kuziba.
Ni mimi Mbumbe wa jimbo la Lulindi
2025 .
MATULANYA MATULANYA
Tusubiri jarida dogo la hatma ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Ukumbi wa Chimwaga Dodoma una historia ungekuwa unasema ungesema. Lakini kwakuwa hauna historia ya kusema hauwezi sema.
Leo Makonda kijana toka kwa mashemeji zangu wasukuma, nawapa kongole sana, lakini pia poleni sana kwakua Makonda ameenda kuwavua nguo wazee, ambao ni CCM ,kamvua nguo raisi Samia Suluhu Hassani, na viongozi wengi wa CCM hasa awamu ya sita kuwa wameshindwa kufanya kazi .
Viongozi na Serikali ya awamu ya sita imeshindwa kutatua shida za watanzania.
Hivyo basi leo CCM wamechutama uku wakitafakari je Makonda ndiyo CCM huyu au CCM nyingine.
Mambo ni mengi ila Makonda atavuka salama? Manake nimepita kwenye Corido za njia ya kuelekea Ginigi wazee wa sharubu na Itifaki wanasema Makonda anaenda vuka mstari, wa chama,na chama hakina Itikadi za kukosoana, kusema ukweli, wala kunyosheana vidole.
Wazee wa sharubu wanasema huu ujasiri katoa wapi, haoni leo anaenda kukiua chama, katoa siri nje na nani ataenda kuziba.
Ni mimi Mbumbe wa jimbo la Lulindi
2025 .
MATULANYA MATULANYA
Tusubiri jarida dogo la hatma ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025