Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,718
Anazunguka nchi nzima kusikiliza kero za wananchi,na inaelekea kwamba hapa na pale anafanikiwa kumsaidia mtu.
Lakini jambo muhimu kwake yeye ni kuwa na heshima kwa viongzi wastaafu, ambao umeona wengine wanalalamoka, kama kwa mfano nimeona Mzee Mizengo Pinda anamlalamika Makonda.
Kama watu wamestaafu ni lazima waachwe wastaafu kwa amani. No nakosa imani kabisa na huyu Makonda. Mi nimepata matatizo na DC Butiama sikupata msaada wowote kutoka kwenye Chama.
Mimi sina imani na Makonda.
Sass nimsifie mtu amejenga barabara,kwani mimi ninayo gari mpaka nimsifie mtu aliyejenga barabara?
Mimi sihusiki na mambo yoyote ya Chama na serikali.
Hakuna kiongozi ambaye anspokuwa na hofu kuhusu kazi take,anahofu kwamba mimi ndio tishio. Waziri most probably atahofu Naibu Waziri anataka kazi yake.
Kwa hiyo mimi naomba niachiwe niishi kwa amani.
Imeandikwa katika Biblia,nabii wa uongo utamjua tu,akitabiri kitu,hakitokei.
Na hata kama akitabiri kitu kikatokea,hana ruhusa ya kukuambia ufanye kitu ambacho kimekatazwa na Mungu.
Lakini jambo muhimu kwake yeye ni kuwa na heshima kwa viongzi wastaafu, ambao umeona wengine wanalalamoka, kama kwa mfano nimeona Mzee Mizengo Pinda anamlalamika Makonda.
Kama watu wamestaafu ni lazima waachwe wastaafu kwa amani. No nakosa imani kabisa na huyu Makonda. Mi nimepata matatizo na DC Butiama sikupata msaada wowote kutoka kwenye Chama.
Mimi sina imani na Makonda.
Sass nimsifie mtu amejenga barabara,kwani mimi ninayo gari mpaka nimsifie mtu aliyejenga barabara?
Mimi sihusiki na mambo yoyote ya Chama na serikali.
Hakuna kiongozi ambaye anspokuwa na hofu kuhusu kazi take,anahofu kwamba mimi ndio tishio. Waziri most probably atahofu Naibu Waziri anataka kazi yake.
Kwa hiyo mimi naomba niachiwe niishi kwa amani.
Imeandikwa katika Biblia,nabii wa uongo utamjua tu,akitabiri kitu,hakitokei.
Na hata kama akitabiri kitu kikatokea,hana ruhusa ya kukuambia ufanye kitu ambacho kimekatazwa na Mungu.