makinda: 15%
sitta:85%
Makinda 3%
Sitta 89%
Grade hizo siyo za Pie-Chart kuwa lazima jumla yake iwe ni 100%. Ni grade za kuonyesha uwezo wa mtun mmoja mmoja kwa scale ya Perfect=100% na horrible=0%.hivi kumbe hisabati ni janga la taifa hadi humu jf??? 89+3 sawa sawa na 92, hiyo 8 iliyobaki ikowapi???
makinda 0, sita 100%
makinda ni zero kabisa-siyo spika ni kada kongwe la ccm linaongoza bunge, kajawa na jazba, hajali maslahi ya taifa, do not think outside the box. Aibu kubwa huyu mama abadilishwe.
Makinda -100%Sita +200 Sasa tunaanza kelewa kwanini hakuolewa MAKINDA NI MAKAMBA KTK BUNGE
Mnamkosea haki Sitta kumlinganisha na Makinda. It's defamation
Kuna mifano mingine ni mibaya sana kutumika hapa jamvini hasa kwa kiongozi wetu, ila ni kama watoto wa kike pale Sinza ninaowafahamu waliokuwa wakilalamikia mateso waliyokuwa wamepata jana yake kutokana na pedeshee waliyekwenda naye kwa sababu ya pesa za haraka harak.Mama Makinda namuonea huruma hili bunge si saizi yake maana benchmark iko very high foe her to reach.....aki jump anafikia 15%....she is even poor....performer
Usiweke neno, weka tu % ya kila mmoja wao.
hivi kumbe hisabati ni janga la taifa hadi humu jf??? 89+3 sawa sawa na 92, hiyo 8 iliyobaki ikowapi???
Mnamkosea haki Sitta kumlinganisha na Makinda. It's defamation