Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,843
Kumbe Makamba sio MZALENDO kama tulivyokuwa tunajua hapo awali
Mtoto wa mamba ni mamba, mtoto wa nyoka ni nyoka, mtoto wa kenge ni kenge, ukipanda mbegu ya mahindi utavuna mahindi so GAMBA linazaa GAMBA!!