Makinda ampinga Zitto hoja ya Kumuondoa Waziri Mkuu

Offcourse tunataka publicity stunt!!

Yeye kinachomuuma nini?? Si asafiri afike Dar salama amekazania kutweet!

Aende akaoshe kucha kilaza mkuu huyo!!
 
Wanajf,

Kwa muda siku mbili tumeshuhudia wabunge wakiongea kwa uchungu na wengine kufikia hata kuwanyooshea vidole mawaziri na kuwaita wezi na ndio wanaolitafuna taifa. Mwananchi yeyote mzalendo atakuwa ameguswa vilivyo kwa jinsi wawasilisha hoja walivyokuwa wakiwasilisha hoja zao.

Wakati wa kufunga mjada wa majadiliano wa kamati za kudumu za mahesabu, Mhe Zitto Kabwe alisema kama mawaziri waliotajwa kutokuwawajibisha walio chini yao hawajawajibika basi wabunge wazalendo wenye uchungu na maslahi ya taifa hili watie saini na zikifika 70 plus 1 watapeleka hoja mbele ya meza ya spika ili kiongozi wa serikali bungeni awajibishwe kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani nae.

Nimeona hii hoja ya Mhe January Makamba nimeishiwa na nguvu na kuona yote ninayoyaona ni ndoto.
,

Usicheze na siasa mkuu, ni mchezo mchafu sana! hapo kuna kitu KIMEJIFICHA! and you will soon realize this .....
 
IMG-20120302-00340_normal.jpg
yafaa nini basi kugonga meza kwa hasira na kuongea mpaka mate yatoke kwa hawa CCM MP's. Huyu ni Makamba




January Makamba
‏
@JMakamba

Kanuni zinasema baada ya kupata #Sahihi70 unahitaji kutoa notice ya siku 14 ili hoja ijadiliwe. Bunge ends in 3 days. #PublicityStunt?


Unategemea nini wakati naye alibebwa na GAMBA hadi IKULU, hadi jimboni kwa baba yake. No credit to him at all. Tupilia mbali, hawana uchungu na nchi hii. Hawajawahi kushinda bila njaa au kupata mlo mmoja kwa siku, hawajawahi kwenda kwa daktari na kukosa dawa na kuambiwa akanunue Phamarcy huku hana hela na anasubiri kifo. Yaani Tz tupo nyuma katika implementation of MDGs yaani goals nyingi hazitekelezeki kumbe hela mnajaza matumbo yenu. Punguani!!!
 
...elewa, siku zisizopungua kumi na nne
kabla ya siku inayokusudiwa kuwasilishwa
bungeni; kwa hiyo siyo lazima kikao hiki, inaweza kuwa jikao kijacho lakini notice itolewe siku kumi na nne kabla ya kikao kijacho. Kikao kijacho kinaanzawiki ya kwanza ya mwezi juni 2012, hivyo wanatakiwa kuwasilisha siku yoyote kuanzia j3 hadi tarehe 14 may 2012. Januari anataka kuwachanganya watu tu.

kikao kijacho ni cha bajeti hatutapokea hoja hiyo kwishine
 
Wanajf,

Kwa muda siku mbili tumeshuhudia wabunge wakiongea kwa uchungu na wengine kufikia hata kuwanyooshea vidole mawaziri na kuwaita wezi na ndio wanaolitafuna taifa. Mwananchi yeyote mzalendo atakuwa ameguswa vilivyo kwa jinsi wawasilisha hoja walivyokuwa wakiwasilisha hoja zao.

Wakati wa kufunga mjada wa majadiliano wa kamati za kudumu za mahesabu, Mhe Zitto Kabwe alisema kama mawaziri waliotajwa kutokuwawajibisha walio chini yao hawajawajibika basi wabunge wazalendo wenye uchungu na maslahi ya taifa hili watie saini na zikifika 70 plus 1 watapeleka hoja mbele ya meza ya spika ili kiongozi wa serikali bungeni awajibishwe kwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani nae.

Nimeona hii hoja ya Mhe January Makamba nimeishiwa na nguvu na kuona yote ninayoyaona ni ndoto.


Mohamed Shossi,
Sijui kama nasoma na kuelewa kifungu 133 (3) (a) na kuelewa sawa sawa:

(3) Hoja ya kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitajadiliwa
na Bunge isipokuwa tu kama:-

(a) taarifa ya maandishi iliyowekwa saini na
kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua
asilimia ishirini ya Wabunge wote itatolewa
kwa Spika, siku zisizopungua kumi na nne
kabla ya siku inayokusudiwa kuwasilishwa
Bungeni;

Kama naelewa, kuna dhamira ya kuwasilisha hoja ambayo inapaswa iungwe mkono na wabunge wapatao 20%. Kwa mahesabu ya Zitto Kabwe wabunge 70 ni 20%. Baada ya hapo hoja hiyo itawasilishwa kwa Spika. Hii ni process ya kwanza.
Process ya Pili ni suala la lini inatakiwa kuwasilishwa bungeni. Hapo Zitto hakusema! Na mimi nataka niamini Zitto sio mbumbumbu. Huenda wanataka kuwasilisha hoja hiyo bunge lijalo? Je, Zitto angesubiri atafute saini kwenye bunge lijalo wakati vuguvugu hili limepoa?
 
Kifungu cha 133 (3) a) PM kitampiga chini, hizo 14 days si lazima bunge liwe mkutanoni, na 20% zipo wazi, na hoja ya namna hiyo kutokuwa na imani for 9 months haina uzito, MPs wakiamua hana la kupona, itakuwa ngumu mno la sivyo awawajibishe those sleeping & corrupt ministers....


Kutoaka na ripoti za CAG na utendaji wa serikali kwa ujumla, na ukitazama hiyo kanuni ni wazi kwamba hakuna kinachoweza kuzuia waziri mkuu kutopigiwa kura ya kutokuwa na imani nae isipokuwa tu Spika wa bunge anaweza kutumia magamba kuliamua suala hili ili kuinusuru serikali yake. Lakini ikitokea wabunge wengi wa ccm wanaiunga mkono hoja hiyo hata kama mama makinda atajitahidi kuibania, watamlazimisha akubali hoja hiyo kujadiliwa.
 
Makamba acha za kuleta kwani Bunge limefikia ukomo wa uwepo wake? Hata maswali ya wabunge hupelekwa mapema na kusubiri majibu katika kikao kijacho. Songa mbele Kamanda Zitto hata wakisema hoja ije wakati wa Bunge la bajeti poa tu.................hiyo ndo itatupa kipimo kwa kuwa Vasco da Gama atakuwa amerejea kutoka kwa Maximo. Je, atachukua hatua gani? Kama atakuwa hajachukua hatua kama ilivyo kawaida yake hapo ndio Wabunge watakapo kuwa wamepata uhahali wa kufanya mavituz yao. Mtoto wa Mkulima andaa machozi...........
 
Zito atapeleka hoja, hata kama litajadiliwa mwezi wa sita ni sawa lakini ujumbe utakuwa unefika

Hivi inamaana Mjanja Zitto wa Kabwe halijui hili au? Kaazi kweli kweli. Tuanakurupuka sana kutaka umaarufu
 
Offcourse tunataka publicity stunt!!

Yeye kinachomuuma nini?? Si asafiri afike Dar salama amekazania kutweet!

Aende akaoshe kucha kilaza mkuu huyo!!
Anataka kuonyesha kua Zitto kakurupuka! Watu tuna uchungu na nchi yetu ye anakuja na mambo ya public stunt? Manina!
 
Wacha karatasi ipate majina yaliotimia, iwakilishwe Bungeni alafu wao wavunje Bunge kwa mda wao. Ila itamaanisha kwamba Bunge lifuatalo hoja hii itakua ya kwanza au kati ya hoja za msingi zitakazojadiliwa. Zittoh hajakurupuka, yupo sahihi unless sisi ndio hatujui kusoma sheria na vipengele vyake.
 
duh mi nimem-mind kinyama! anastahili kuchapwa viboko...
Januarymakamba: so what!???
 
Hivi inamaana Mjanja Zitto wa Kabwe halijui hili au? Kaazi kweli kweli. Tuanakurupuka sana kutaka umaarufu


Kwani hadi hapa kwa Kanuni hizi; ni sehemu gani au kipengele gani ambacho amekiuka.

Mbona yupo sawa, elewa CDM ni vijana wasomi huwa hawakurupuki. Rekebisha kauli utachekwa weweeeeeeeeee!!!! Na mimi sitakusaidia


MWISHO wa CCM madarakani UMEFIKA. TUANDAE KABURI LA KUIZIKA. OLE WAKE RAIS AMBAYE CHAMA KITAKUFAMIKONONI MWAKE.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
nadhani umejibi maswali ya watu wengi sana hapa

Mohamed Shossi,
Sijui kama nasoma na kuelewa kifungu 133 (3) (a) na kuelewa sawa sawa:

(3) Hoja ya kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu haitajadiliwa
na Bunge isipokuwa tu kama:-

(a) taarifa ya maandishi iliyowekwa saini na
kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua
asilimia ishirini ya Wabunge wote itatolewa
kwa Spika, siku zisizopungua kumi na nne
kabla ya siku inayokusudiwa kuwasilishwa
Bungeni;

Kama naelewa, kuna dhamira ya kuwasilisha hoja ambayo inapaswa iungwe mkono na wabunge wapatao 20%. Kwa mahesabu ya Zitto Kabwe wabunge 70 ni 20%. Baada ya hapo hoja hiyo itawasilishwa kwa Spika. Hii ni process ya kwanza.
Process ya Pili ni suala la lini inatakiwa kuwasilishwa bungeni. Hapo Zitto hakusema! Na mimi nataka niamini Zitto sio mbumbumbu. Huenda wanataka kuwasilisha hoja hiyo bunge lijalo? Je, Zitto angesubiri atafute saini kwenye bunge lijalo wakati vuguvugu hili limepoa?
 
I told you guys slogans za Taifa Kwanza na ujana walizokuwa wanaziimba ni kwa interests zao tu si kwa manufaa ya taifa, Zitto watch out.
 
me nasema ccm bila nguvu hawatabadilika wakuu, hao ni mambwa yasiyo na meno! Just imagine makelele yote ya wabunge wao jana juzi afu hakuna lililotokea paka leo hakuna linaloendelea,hiv wanatutaka nini????
 
Back
Top Bottom