NonsenseSasa nimeelewa kwa nini Sugu na UKAWA walikuwa wakisihi sana Bungeni wakiomba Magufuli asafiri kwenda nje ya nje.Anawaweka roho juu mafisadi akiwa yuko nchini wanajua sasa yoyote kinawaka ndio maana wakamtuma mbunge Sugu kuomba Raisi asafiri kana kwamba bunge ndio lililomzuia asisafiri!!! Wanaweweseka UKAWA na fisadi wao hadi basi.
vijana clearing wenye jeuri ya heineken kwenye pubs tutawakuta kwenye.banana
Unaa elewa neno "Kwa kisingizio" linajenga taswira gani katika lugha ya Kiswahili?Ndio ukubali sasa chadema kuna mafisadi, ndo maana Mwenye chama anawatetea
NASACO sio DAHACODAWA NI KUIRUDISHA DAHACO
Aisee hao waalimu wenu hapo Mirembe wanawadanganya sana. Sijui kama mtapona!?Chadema chama cha kutetea mafisadi
Hoja ya kitoto kabisa kama mpo wengi humu JF basi ndiyo mkubarike hata kama mnamwaga pumba, JF Chadema ndiyo wengi kwa hiyo wangepewa nchi?Nakushangaaa Jukwaa hili wewe peke yako ndio mtetezi wa mambo Kama Haya ...Nani anateetea HSC na Hao silent HUKU zaidi yako ????? So wewe peke yako ndio Uko right .....au umevaa miwani gani ???.
Siwezi kuwa NA wivu NA MTU ambayo wala siwezi kukutana naye....hanijui
Wameiba sambusa za Bandarini.Wamekosa nini?
Uchumi wa gesi na viwanda!Where are we going? where are heading?
Taratibu ile 'mizuka' aliyosema Mh. Joseph Mbilinyi itawaishia na baadhi yetu tutaanza kuelewa ukweli.NI UKWELI USIOPINGIKA, PESA ZIMELIWA NA WATUMISHI WA "TPA" WAKUBWA NA WADOGO. SASA WANALINDANA KWA KUWABANA WANYONGE WASIOHUSIKA. KAMA KWELI NA HAKI INATAKIWA IONEKANE IKITENDEKA, NI KWA NINI WASI-WA "IMPLICATE" WAMILIKI WA ICDs KWA KUWEZESHA UTOROSHAJI HUU UNAOSEMEKANA KAMA KUNA UKWELI?
HAWA WANAITWA WAPELELEZI WA SERIKALI WAKO WAPI? TENDENI HAKI NA MUNGU ATALIBARIKI TAIFA HILI. KINACHOFANYIKA SASA NI WIZI WA AINA NYINGINE, TENA MKUBWA, NA SAFARI HII UKISIMAMIWA NA MAMLAKA HUSIKA! Je tutafika?
Makampuni Zaidi ya 200? hii inaonyesha ni jinsi gani mazoea yalivyo kuwa tabia, Usiishie Kuwafungia na kuwanyanganya vibari tu, bari wamiliki, watumishi wa ngazi za juu wahayo makampuni wafungiwe kufanya hizo kazi.
Haya makampuni siyo ya kuyaonea huruma kabisa, kwani yanatabia ya kuuma pande zote mbili, yanawaumiza serikali na pia yanawaumiza wateja wao, Yafutwe kabisaa.[/QUOTEKuna kampuni moja hapo nimefurahi sana kuwemo kwenye hii list maana niliwahi kuagiza mwaka juzi Gari mbili kwa mpigo za moja IST ya mwaka 2004 na nyingine NISSAN EX TRAIL ya mwaka 2005 jamaa wakafanya clearing zao zote nakuja kupewa card za Gari zote mwaka 2009 maana yake hakuna uchakavu ila mie nililipa kama kawaida pamoja na uchakavu nikachukua Gari zangu cha ajabu kuulizia naambiwa nimepigwa...... nikajifariji kua kwa kua budget yangu ilikua pamoja na uchakavu si kuumiza kichwa......... Jamaa wakaibia serikali sijui huu mchezo ulichezwaje tu.....
mohamed dewji (MO) Ndani ndiye anayetaka kununua SIMBA SPORT CLUB;
KUMBE MWIZI NO 1
123.Mechanised Cargo Systems
124.METL
125.Metrologic C &f F Ltd