Makampuni 210 ya Clearing & Forwarding yasimamishwa kutoa huduma na TPA

Kweli mkombozi kapatikana,yaani Jk alikuwa haoni haya?,kweli kagame alikuwa anamaanisha alicho kinena
 
Poa tu ingawaje sijaelewa vizuri,yamesamishwa hadi lini?..baada ya kusimamishwa ni nini kinafuata?..je serikali imejipanga vipi kwenye kuhakikisha kuwa mizigo haikwami bandarini?...zile billioni 12 za Daktari kwenda mahakamani ndio zimeanza kazi au??
Ndio tusha yafuta hivyo
 
Kulaleki mjini watu wataheshimiana sn
Ila wenye haki walopoteza kazi zao maskinii pole yao
 
kuishi mjini kwa upambe tabu sana ...

baada ya kutumia makampuni ya wanyonge kwa malipo ya shilingi milioni 10 hadi 20 kwa mwezi .....mtu anatamba kuwa mwenye ushahidi aje .....HAWAJABAKI SALAMA KAMA UNAVYODHANI ..SERIKALI SIO WAJINGA WATAJUA MAHALA PAKUWABANA.......
WEWE unategemea kuwe na ushahidi gani wa kuwashika kama kampuni za kufanya madudu zilikuwa zinakodishwa kwa mali kauli ...kupitia third parties na malipo pia kufanyika huko huko mtaani .....unafikiri system ilikuwa haioni ??
Narudia tena usipende kuokota maneno kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF.

Wasaidie TRA hizi details zako wawakamate Silent, kingine nakushauri tafuta kazi ufanye uwezi kuwa na chuki na roho ya husda ukafanikiwa mkuu.

Hizi kampuni zote zimeshindwa kuwataja Silent ila wewe punguani ndiyo unajua daah!!.

Kweli wewe mzee wa porojo na data za kwenye vijiwe vya mbege.
 
Ha ha ha! Ili wawa-delist kutoka kwenye orodha ya watu wenye ukwasi Afrika. Wote hao tunaowaona wakwasi wamo kwenye hii listi ya aibu - Bakhresa, Malinzi, Dewji, Manji, et. al. Hayo ni majina "makubwa" Tanzania lakini ni "majambazi" ya kimfumo. Hawa ingekuwa China/N. Korea ni kitanzi tu na ukwasi wao.
Ndio ni wezi tu,tena wafikisiwe maana haya makampuni yamefutwa jamaa wataanzisha mapya na huenda yashaanza
 
Ha ha ha! Ili wawa-delist kutoka kwenye orodha ya watu wenye ukwasi Afrika. Wote hao tunaowaona wakwasi wamo kwenye hii listi ya aibu - Bakhresa, Malinzi, Dewji, Manji, et. al. Hayo ni majina "makubwa" Tanzania lakini ni "majambazi" ya kimfumo. Hawa ingekuwa China/N. Korea ni kitanzi tu na ukwasi wao.
Ndio ni wezi tu,tena wafilisiwe maana haya makampuni yamefutwa jamaa wataanzisha mapya na huenda yashaanza
 
Weka private number lakini marufuku kuonekana kwenye list za ajabu ajabu kama hii ya TPA. Otherwise wewe ni jambazi tu kama majambazi mengine. Tofauti huendi field moja kwa moja na silaha ila vitendo vyako ni maangamizi kwa taifa kuliko jambazi la silaha.
Kwani zile gari zenye plate number E zinawabeba watu gani ?? Si ndio wanatajwa kuhusika na kusafirisha Twiga ??
 
Vizuri sana lakini hoja ya msingi ni kuwa kama una akaunti na mtu akakuwekea pesa zako benki alafu keshokutwa ukaenda kudroo kiasi ukakuta zimepungua au hazipo kabisa. Ukamuuliza aliyekuwekea pesa hizo akupe resiti alizotumia kuweka pesa na kuzipeleka benki lakini benki wakaishia kukwambia kuwa hatuzioni kwenye database yetu hizo mwambie aliyeweka akuwekee zingine!
Mimi nadhani katika hali kama hii unafanyika uchunguzi wa kina kama kweli mteja aliweka pesa kweli au la, na kwa vile benki nyingi zina cctv camera wanaweza kurudisha ule muda kuhakiki kama kweli depositor aliweka pesa muda huo. Na je, ikionekana kweli mteja aliweka pesa bali cashier akafanya alivyojua, ni sahihi kumuadhibu mteja (aliye deposit)!?
Ukianza kutafakari mfano huu ndipo mwisho utaelewa jinsi hizi pesa za bandari wanazoongelea hapa zilivyopotea!
Unajua katika bandari kavu zote waliweka matawi ya benki ya CRDB so wakati wa kulipia port charges unajaza bank slip then unawapa hela wao wanakupa ile slip usaini then cashier wa bank anaipeleka mwenyewe kwa accountant wa TPA so sometimes walikuwa wanacheza na watu wa bank na sometime walikuwa wanacheza na mawakala. that is all about
 
Hizi comments mbili zinatoa picha tofauti za kinachojadiliwa na kuweza kuona mawakala wako upande gani wa mgogoro huu.
Binafsi sitetei uvunjaji wa sheria na ninachoweza kusema ni kuwa waathirika wanalipa gharana za maslahi ya walioasisi na kuusimamia ufisadi huu. Wengine wanasema ni chama kinachoendesha nchi, wengine wanasema ni awamu iliyotangulia nk. Lililo wazi ni kuwa nchi imefikishwa pabaya. Refer maneno ya Mh. Mnyika kuwa "tumefikishwa hapa na udhaifu wa serikari, tumefikishwa hapa na udhaifu ......"

Unajua katika bandari kavu zote waliweka matawi ya benki ya CRDB so wakati wa kulipia port charges unajaza bank slip then unawapa hela wao wanakupa ile slip usaini then cashier wa bank anaipeleka mwenyewe kwa accountant wa TPA so sometimes walikuwa wanacheza na watu wa bank na sometime walikuwa wanacheza na mawakala. that is all about
Acha waende wakafungue case kama wanaona wameonewa hii ni dunia huru na tuna ishi kwenye nchi ya kidenokrasia! Kama umesoma hii habari kwa makini utagundua waliambiwa walete documents zinazo thibitisha wamelipa kodi lakini walishindwa ...ulitaka waendelee kuchekewa? Kama wamelipa kwanini wasipeleke hizo documents?
 
Hii safisha safisha itakuwa na manufaa kwa baadae, japo sasa kila mtu ataisoma namba
 
Raisi Magufuli alisema kwamba Wapinzani hawataweza kushinda Uchaguzi na kuingia Ikulu kwa sababu wao (CCM) wanayafanya na kuyatekeleza yote ambayo wanayalalamikia!
Swali ni je, magufuli atakua rais awamu ngapi? Na kama mbili Vipi yule atakayemfuata atakua kama yeye?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom