Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
TUMEKUWA TUKISEMA KUWA WENGI WA WANAOVAA MAVAZI YA CCM NI KWA HOFU YA KUPOTEZA KITU FULANI LAKINI KWENYE SANDUKU LA KURA WAO NAO SIO RAHISI WAISUTE DHAMIRI YAO JUU NI NANI ANAFAA KUWA KIONGOZI ANAYEWEZA KUTHIBITI UFISADI.
Makamba amenukuliwa na mwananchi na hii ni sehemu ya alichokisema kwa kukubali kuwa hata walio na mashati ya kijani bado kuna ambao mioyoni sio.
"Najua wapo hapa baadhi yetu wana mashati ya kijani lakini moyoni sio wenzetu, naowaomba kuanzia leo tushirikiane... ," alisema Makamba. Source Mwananchi Oct 18,
NINASHUKURU KUWA WOTE TUNAONA UKWELI. KATIKA MIKUTANO YA CCM NUSU AU ZAIDI HAWATAIPIGIA KURA CCM. NINAMFAHAMU NDUGU YANGU MMOJA YUKO KWENYE KILA KAMPENI KWA SABABU ZAKE LAKINI KATI YA WANAOCHUKIA CCM YEYE NI NAMBARI WANI NA HUWA ANATUAMBIA WAZI. CHA AJABU HATA ALITAFUTA KUGOMBEA KWA CHAMA HICHO AKIWA AKIKICHUKIA HIVYO HIVYO. WAKO WENGI WA AINA HIZO ZA MASLAHI TU.
NA SIO KWAMBA AKILI ZA KAWAIDA HAZIWAAMBII CHAMA KIMEFIKIA UKINGONI KWA KUWA HAKINA TENA CHOCHOTE KINACHOJULIKANA KUWA NDIO MSIMAMO WA CHAMA. Msimamo usioyumba wa CCM ni nini? Utaifa? Rushwa? Kupinga Ukabila? Ni kuchukia umaskini? Ni kupigania haki za wazawa? Ni kutetea wanyonge, machinga? Ni nini?
Makamba amenukuliwa na mwananchi na hii ni sehemu ya alichokisema kwa kukubali kuwa hata walio na mashati ya kijani bado kuna ambao mioyoni sio.
"Najua wapo hapa baadhi yetu wana mashati ya kijani lakini moyoni sio wenzetu, naowaomba kuanzia leo tushirikiane... ," alisema Makamba. Source Mwananchi Oct 18,
NINASHUKURU KUWA WOTE TUNAONA UKWELI. KATIKA MIKUTANO YA CCM NUSU AU ZAIDI HAWATAIPIGIA KURA CCM. NINAMFAHAMU NDUGU YANGU MMOJA YUKO KWENYE KILA KAMPENI KWA SABABU ZAKE LAKINI KATI YA WANAOCHUKIA CCM YEYE NI NAMBARI WANI NA HUWA ANATUAMBIA WAZI. CHA AJABU HATA ALITAFUTA KUGOMBEA KWA CHAMA HICHO AKIWA AKIKICHUKIA HIVYO HIVYO. WAKO WENGI WA AINA HIZO ZA MASLAHI TU.
NA SIO KWAMBA AKILI ZA KAWAIDA HAZIWAAMBII CHAMA KIMEFIKIA UKINGONI KWA KUWA HAKINA TENA CHOCHOTE KINACHOJULIKANA KUWA NDIO MSIMAMO WA CHAMA. Msimamo usioyumba wa CCM ni nini? Utaifa? Rushwa? Kupinga Ukabila? Ni kuchukia umaskini? Ni kupigania haki za wazawa? Ni kutetea wanyonge, machinga? Ni nini?