johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,121
Wako Wanasiasa wengi ambao wamekuwa Siasani Lakini Siasa hazijawakuza hivyo wanakuwa watu wasio na misimamo
Na Hili liko kwa watoto wengi wa viongozi ambao hubebwa tu na mbeleko na Majina ya baba zao na Wao kukuta wanakuwa viongozi wasio na dira wala maono
Emmanuel ni mtu aliyekulia katika Siasa Lakini Siasa ndio imemkuza, ni mtu anayejua Siasa mwenye msimamo usioyumba
Nakumbuka Wakati wa kuasisi kundi la Friends of Lowasa walikuwa wanasema " Sifa na Vigezo Kuzingatiwa" kwa sababu walihitajika watu smart siyo mtu yoyote tu kwa sababu walikuwa na Maono ya mbali
Kwa Emmanuel tutegemee siasa zilizochangamka kutoka CCM kama walivyofanya Kolimba na Kinana
Hakutakuwa na Siasa za kukaa ofisini tena ni Siasa za field, Site na Mitaani kama ilivyofanya ile UVCCM yake na mdogo wake Mallisa na Kaka yao Shigella
CHADEMA isitegemee kubembelezana tena na Zitto Kabwe asitegemee kumuuzia taarifa Emma kwani ana vyanzo vyake lukuki
Juu ni Wakati wa Wastaafu kulea Wajukuu 😂
cc: Mzee Mgaya - Lukumburu
Na Hili liko kwa watoto wengi wa viongozi ambao hubebwa tu na mbeleko na Majina ya baba zao na Wao kukuta wanakuwa viongozi wasio na dira wala maono
Emmanuel ni mtu aliyekulia katika Siasa Lakini Siasa ndio imemkuza, ni mtu anayejua Siasa mwenye msimamo usioyumba
Nakumbuka Wakati wa kuasisi kundi la Friends of Lowasa walikuwa wanasema " Sifa na Vigezo Kuzingatiwa" kwa sababu walihitajika watu smart siyo mtu yoyote tu kwa sababu walikuwa na Maono ya mbali
Kwa Emmanuel tutegemee siasa zilizochangamka kutoka CCM kama walivyofanya Kolimba na Kinana
Hakutakuwa na Siasa za kukaa ofisini tena ni Siasa za field, Site na Mitaani kama ilivyofanya ile UVCCM yake na mdogo wake Mallisa na Kaka yao Shigella
CHADEMA isitegemee kubembelezana tena na Zitto Kabwe asitegemee kumuuzia taarifa Emma kwani ana vyanzo vyake lukuki
Juu ni Wakati wa Wastaafu kulea Wajukuu 😂
cc: Mzee Mgaya - Lukumburu