Makamba na Maharage hawapo, sasa tuone kama matatizo ndani ya TANESCO yatafika mwisho

Idofu

Senior Member
Oct 24, 2022
108
187
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa, wote hao hawako huko, tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho ndio maana Mh. Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu.

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu, hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu.

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu, tumuache Mh. Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini, tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa.
 
Kwani huyo Kalemani walimpenda wewe deliver na si kuanza kuponda waliopita ambao walistabilize hali ya umeme. Mara hoo umeme ulikuwa unakatika sababu, kulikuwa hamna preventive maintenance, mara hoo vituo chakavu nk.Mama bila hiyana kawapa hela fanyeni maintenance hiyo mitambo, mwaka umepita hamna kitu.

Mwaka jana kulikuwa na kichaka cha kujificha cha ukame kwenye maswala ya mgao,mwaka huu mvua zimenyesha still mgao unaendelea.
 
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa,wote hao hawako huko,tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho,ndio maana mh.Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu!!

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama Kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu,hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani Chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu!!

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu,tumuache Mh.Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini,tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa!!
Ninakuhakikishia hakuna mwana CCM aliye na chuki binafsi na Makamba au Maharage. Tatizo lililopo ni wao kudhihaki na kudharau umahiri wa Enzi za Dkt Magufuli na kujifanya wao ni wakombozi. Hakuna mtanzania aliyemuelewa Makamba mfano ile issue ya kuondoa top management yote ya TANESCO, hiyo tu ilikuwa dalili tosha kuwa aliwaondoa ili aweke mifumo yake ya wizi na kurirudisha taifa nyuma kwenye masuala ya umeme na wazungu wanatumia umeme na demokrasia kupenyeza ujinga wao na ukiangalia leo hii Tanzania yetu umeme umeleta chuki kubwa mno kwa serikali ya Dkt Samia. Maharage yeye aliharibu mifumo ya utendaji ndani ya TANESCO. Yaani CEO mpya ana kazi ngumu ya kurudisha morali ya wafanya kazi. Huyo CEO mpya kwanza awatimue hiyo management mpya arudishe ile ye mwanzo kabla ya Makamba
 
Makamba alikuta umeme hausumbui yeye na genge lake ndio chanzo Cha haya yote

Ni kweli, wlishindwa ku-deliver - maana Umeme ulikwepo Kabla ya Wao kuingia- zikaanza story za Kuwa tulikuwa tunapata Umeme Bima ya mitambo kufanyiwa matengenezo…yaani kweli Tanesco na Ma-Engineer wote wale wazalishe Umeme bila ya mashine kufanyiwa Matengenezo?
 
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa,wote hao hawako huko,tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho,ndio maana mh.Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu!!

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama Kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu,hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani Chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu!!

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu,tumuache Mh.Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini,tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa!!
Huyo mnaetetea uwa anafeli kila sehemu na matarajio ya wengi walijua nishati atafeli tena na ndicho kilichotokea
 
Nishati, Madini, utalii ..... hata mie nkiona expansion joint ntapiga fweza za kutosha
 
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa, wote hao hawako huko, tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho ndio maana Mh. Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu.

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu, hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu.

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu, tumuache Mh. Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini, tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa.
HAKUNA WA KUMALIZA MATATIZO YA TANESCO TANESCO BILA KUGAWANYA MATATIZO YAPO PALE PALE
 
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa, wote hao hawako huko, tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho ndio maana Mh. Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu.

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu, hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu.

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu, tumuache Mh. Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini, tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa.
Ila pamoja na Hilo nadhani Kuna shida kubwa ya planning hasa hapo Tanesco.
Screenshot_20230923-100705_1.jpg

Mathalani nimekuja gundua kwamba Kwa miaka 2.5 ya Rais Samia Tanesco imeweza Kuongeza megawatt 200 tuu kwenye grid ya Taifa huku pesa nyingi wakitapanya kwenye miradi kede kede midogo midogo ya REA,Uimarishaji gridi na Usambazaji.

Matokeo yake hawakuwa wamewekeza kwenye production in case Kuna Dharula kama hizi za ukame.Kwa mantiki hiyo ni sahihi Kwa wao kutumbuliwa.

Mwisho Hawa nao wasioelewa maana ya planning na kipi kianze na kipi kifuate itakuja ku burst huko mbele ,inaweza kuwa sio kwenye Umeme Bali hata mafuta.
 
Ujio wa Makamba katika Wizara ya Nishati na Maharage Chance pale Tanesco,baadhi ya watu hawakulipenda hilo iwe ndani ya CCM na nje ya CCM,lakini chuki kubwa ilikuwa ndani ya CCM!!

Tatizo kubwa ndani ya CCM,Kuna baadhi ya Viongozi hawaridhiki na nafasi walizo nazo,wanatamani kila nafasi wawemo,na ndio hao hao wanamyumbisha Mh.Rais!!

Haya sasa, wote hao hawako huko, tuone Kama haya matatizo ndani ya Tanesco yatafika Mwisho ndio maana Mh. Rais amemteua Waziri mpya wa Nishati na kuumpa Naibu Waziri Mkuu.

Ni wakati gani Waziri wa Nishati atasimama kama Waziri na wakati gani atasimama Kama Naibu Waziri Mkuu, hilo tunawaachieni wazee wa chokochoko ndani chama na wapambe wenu ili akili iwakae sawa na mkijichanganya tu imekula kwenu.

Matatizo makubwa ya Tanesco hayawezi kuwa ndani ya Waziri na Mtendaji Mkuu, tumuache Mh. Rais akishateua watu wake ambao yeye anawaamini, tuwaache wafanye Kazi na sio kuleta nongwa.
Idofu, nani alimuingilia Makamba ktk utendaji wake hadi hali ikafika mahali ilipofikia hii wizara ya nishati? Ni wazi Rais anamlinda Makamba la sivyo alikuwa ni mtu wa kupigwa chini siyo kuamishwa wizara kutokana na utendaji wake mbovu
 
Back
Top Bottom