Majungu na kukwamishana Buboka Mjini vyamliza Mbunge Byabato. Apiga magoti na kutoa machozi mbele ya wanabukoba

Mnamkosea sana Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Kichwa cha habari na content ni vitu viwili tofauti

Aliyepiga magoti na kumwaga machozi ni Mbunge wa Bukoka Byabato

Pamoja na kuhamisha Uzi kuuweka hapa lakini JF mna jukumu la kumuomba msamaha Mheshimiwa Biteko.
 
Ni naibu Waziri Byabato sio Biteko!..
Mode do the needful!.
P
Wamemkosea sana Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Kichwa cha habari na content ni vitu viwili tofauti

Aliyepiga magoti na kumwaga machozi ni Mbunge wa Bukoka Byabato

JF mna jukumu la kumuomba msamaha Mheshimiwa Biteko.
 
😁😁Wana siasa bhana,mara Wapige magoti kwenye mikutano,wengine wanalia machozi,wengine wanapiga sarakasi bungeni,wengine wanachapana bakora kwenye mikutano,wengine wanazichapa kavukavu bungeni,wengine mpaka wanapiga push up kuonyesha ukakamvu wao.......
 
Hao 'nshomile' siku hizi choka tu, hata sie wa Njombe na Simiyu tumewazidi mbali....
Njombe hii iliyojaa ushirikina na kulawiti watoto wadogo kama njia ya kupata mali?
Mkuu Bukoba imestaarabika mno...kiongozi pale unahitaji kuwa mkweli na transparent vinginevyo utayumbishwa hadi kulia...bukoba watu hawadanganyiki kizembe...
 
There is something fishy going on there,sio bure huu mkoa kazi ipo.
Mimi kama ingekuwa ni kuruhusu kuua...Bukoba baadhi ya watu wangeuliwa tu...
Kuna kikundi cha watu wachache hapo bukoba kimekita mizizi na kimejimilikisha mji...
Na sasa kuna upanuzi wa barabara ya njia nne bukoba...kikundi kipo kulaghai watu waonewe huruma wasivunje nyumba zao walizojenga barabarani...wako hadi kuchongea mbunge ili barabara isipanuliwe...kama ilivyokuwa mgogoro wa kuvunja nyumba za kimara

Lakini Tanroads hawana utani wamevunja vyumba zote na barabara inapanuliwa kuwa njia nne kama kawaida
 
Naona bajeti ya mwaka huu....Barabara ya njia nne bukoba kutoka Rwamishenye hadi bandarini...vip walishaanza ujenzi?
Vip watu wamekubali kuvunja nyumba zao?

Kulinganisha na wabunge waliopita bora huyu...at least anaonekana hata hapo Bukoba...


Barabara ya njia nne ikijengwa aiss itaubadilisha completely mji wa Bukoba
Yap watu wameshabomoa tuombe wanafiki wasiingilie kati hatuchelewi kusikia wapo mahakamani mradi usitishwe
 
Yap watu wameshabomoa tuombe wanafiki wasiingilie kati hatuchelewi kusikia wapo mahakamani mradi usitishwe
Mahakamani wataendaje? Wakati nj hifadhi ya barabara?

Hata huko mahakamani majaji wawe wanatumia common sense...

Hiz roho chafu za baadhi ya watu hapo Bukoba mjini huwa zinatoka wap....sheria ya kunyongwa itumike...watu wawe wanavyongwa kimya kimya...
 
Back
Top Bottom