nitumieni hayo majina...!!!! kama kweli mko serious!
Majina ambayo yanatajwa ni pamoja na:
Raisi akalivalia njuga.Wengi wao wamekimbia nchi,na inasemekana hawa walikuwa wanashirikiana sana na polisi,kitengo cha madawa ya kulevya.
- Dewji (Mo'hd Enterprise) mbunge huyu,
- Yusuf Manji,
- Mrema (mmliki wa Ngurdoto lodge na Impalla Hotel Arusha),
- kuna madiwani kama watano wa Dar, mmoja wao akiwa ni Meya wa Ilala na msaidizi wake (majina yamenitoka),
- mume wake Amina Chifupa (Mpakanjia)... Na hili balaa alilianzisha huyo huyo Amina Chifupa,sasa sijui hakujua kuwa mume wake yumo au vipi, maana yeye ndiye aliyehoji bungeni kuwa hawa watu wanafaamika sasa kwa nini wasikamatwe?
Hao Manji na Dewji, inasemekana kuna mzigo wao uliibiwa Tanga juzijuzi hapa na wajanja,na ukauzwa. Kinachosemekana ni kuwa hawa watu wanafanya hii biashara kiujanja sana kiasi cha kwamba kuwashika sio rahisi kabisa kwa kuwa they can justify their means thru the legal businesses, lakini wengi walitajwa na wafanya biashara wa madawa ya kulevya wadogo,ambao wengi wao hutumwa na hawa jamaa..
according to JK
1.maaskofu
according to JK
1.maaskofu
majina ambayo yanatajwa ni pamoja na:
raisi akalivalia njuga.wengi wao wamekimbia nchi,na inasemekana hawa walikuwa wanashirikiana sana na polisi,kitengo cha madawa ya kulevya.
- dewji (mo'hd enterprise) mbunge huyu,
- yusuf manji,
- mrema (mmliki wa ngurdoto lodge na impalla hotel arusha),
- kuna madiwani kama watano wa dar, mmoja wao akiwa ni meya wa ilala na msaidizi wake (majina yamenitoka),
- mume wake amina chifupa (mpakanjia)... Na hili balaa alilianzisha huyo huyo amina chifupa,sasa sijui hakujua kuwa mume wake yumo au vipi, maana yeye ndiye aliyehoji bungeni kuwa hawa watu wanafaamika sasa kwa nini wasikamatwe?
Hao manji na dewji, inasemekana kuna mzigo wao uliibiwa tanga juzijuzi hapa na wajanja,na ukauzwa. Kinachosemekana ni kuwa hawa watu wanafanya hii biashara kiujanja sana kiasi cha kwamba kuwashika sio rahisi kabisa kwa kuwa they can justify their means thru the legal businesses, lakini wengi walitajwa na wafanya biashara wa madawa ya kulevya wadogo,ambao wengi wao hutumwa na hawa jamaa..
Ina maana bwana mdogo jerry william slaa naye yumo? Hapo umesema na meya wa ilala pia lol kazi ipo
Enzi hizo hakuwa meya bado, alikuwa diwani...Ina maana bwana mdogo jerry william slaa naye yumo? Hapo umesema na meya wa ilala pia lol kazi ipo