Ulimsikia mwakyembe alivosema kuwa " mtu muhimu aliesaidia kupambana na madawa kwa % zaidi ya 90, aliishia kufungwa jela mpka leo! Bila kumtaja huyo mtu, pia alieleza kuwa jitihada zake zote za kumtoa huyo mtu zilishindikana!
"Labda kwanza ayakate majina mengine ndo amkabizi"
Mwakyembe anaonyesha Jinsi gani Vita ya Madawa ya kulevya ilivyongumu na haiwezi kutatuliwa kwa Mihemko au sifa binafsi.