Upumbavu upi? unayafurahia mateso wanayoyafanya wanajeshi huko Mtwara?Hayo maneno uliyoandika hapo chini ni upumbavu na kukosa akili kuliko pitiliza.
Rest in peace askari wetu. Mmekufa kishujaa
Upumbavu upi? unayafurahia mateso wanayoyafanya wanajeshi huko Mtwara?Hayo maneno uliyoandika hapo chini ni upumbavu na kukosa akili kuliko pitiliza.
Rest in peace askari wetu. Mmekufa kishujaa
..... 4-0Hayo maneno uliyoandika hapo chini ni upumbavu na kukosa akili kuliko pitiliza.
Rest in peace askari wetu. Mmekufa kishujaa
Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!
piga hesabu vizuri mkuu
Kuna kaka yangu alienda DARFUR na Amerudi na hela chin ya million tano!
Hakuna kitu Mimi ninadhani zinatafunwa na akina shimbo wapya, ifike mahala tujue mikataba hiyo na faida zake!
jana nilisikikiza ile famous speech ya kagame alisema at hit us na tutapigwa bila KUJUA nani katupiga, anatamba kuwa whether by land, air we shall never cross the line when we get into the target!!!!!???
let us think twice badala ya kutumia GPA ZA below 2.7 na tamaa ZA utajiri wao
Nasikitika nahao waislam mauti yamewakuta katika mwezi mtukufu Wa ramadhani walitakiwa wafanye ibada