Majina saba ya askari walio uwawa Sudan

walichagua kazi iliyo bora,
wamekufa kishujaa,
Mungu awasamehe makosa yao, wapumzike kwa amani
 
Huo uwe mfano kwa wale wanajeshi wanaotamba kule Ntwara, kuwabaka wanawake na kuwatesa wananchi, ipo siku nao watakufa
 
JK rudisha jeshi nyumbani!
Hatupati chochote huko zaidi ya sifa ya kuitwa"polisi wa Africa"!Nchi zingine waki calculate na wakikokotoa kama hamna any economic gains hawapeleki jeshi!

Rais wangu JK pls warudishe vijana home!

Sio kosa lako Kilaza wewe...
 
Very sad newz. Mungu azirehemu roho za marehemu hawa. Zipumzike kwa amani. Tulitoka mavumbini tutarudi wote mavumbini
 
Kweli inatia uchungu sana!
Mwenyezi Mungu azilaze mahali pema peponi roho za makamanda hawa waliokufa kishujaa na awape nguvu na amani familia zao katika kipindi hiki kigumu kwao.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
una uhakika gani kuwa walikuwa wanapigani a haki usawa na amani? kwani si juzi tu tumesikia rais akitaka nchi wahusika zifabye mazungumzo? una fikiri kama ni wanyang'anyi wanaweza mazungumzo?
ila kagame alisema "i will hit him at right time and right place"
Mkuu shughuli walioenda kufanya askari wetu Sudan ni kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa na sio vinginevyo. Taarifa ya hili zipo kila mahali na kama hili nalo mpaka upewe uhakika basi pole yako.
 
nadhan TZ tujue kua kila wanajeshi wanapoenda ktk conflict areas wanakua ktk hali ya hatari si kwenda kula raha na kuchukua pesa za UN tu
 
kuna mdogo wangu kamaliza form 4 alikuwa akiniomba ushauri ajiunge jeshi au lah? kwa elimu yake atakuwa tu koplo tena wa kutangulizwa mbele. vipi nimshaurije?
 
Mkuu shughuli walioenda kufanya askari wetu Sudan ni kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa na sio vinginevyo. Taarifa ya hili zipo kila mahali na kama hili nalo mpaka upewe uhakika basi pole yako.
mimi nilisema kwa kuna mwenzetu kasema wamekufa kwa kupigania haki, nikamuuliza ana uhakika gani kuwa mwenye haki ni hao waasi au serikali iliyoko madarakani?
maana hata hapa kwetu tumesikia hao waasi wakae meza moja na serikali, kumbe pengine waasi wanaweza kuwa na ajenda za msingi zinazowafanya kufanya hayo? mfano sasa chadema wanachama wake wengi wameuwawa na kuteswa na polisi wakiamua kuingia msituni alafu UNO ikawaita waasi ikaleta majeshi ya kulinda amani alafu majeshi hao wakauwawa utasema wameuwawa wakitetea haki?
 
attachment.php


Vifo hivi viwakumbushe wanajeshi wetu kwamba watanzania wote ni ndugu na kwamba sote ni mavumbi na mavumbini ni lazima tutarudi. Mateso wanayoyafanya wanajeshi kwa raia wa Mtwara ni ya kinyama!!! Si ya kiutu hata kidogo!!! Ni bahati mbaya kwamba jeshi letu linatumiwa vibaya na wanasiasa!!! Mungu aturehemu sote na roho za wanajeshi hawa zipumzike kwa amani!!

May be a right advice, but wrong time.
 
Back
Top Bottom