Safi sana maana watanzania tuko zaidi ya 40 million, tukipokezana kila baada ya miaka mitano wengi watafaidi na kujijengea msingi wa kujiajiri
Yale yale!!!!! Unaingia kwenye siasa kutafuta ajira? Tofauti ya wewe na mafisadi ni ipi?Safi sana maana watanzania tuko zaidi ya 40 million, tukipokezana kila baada ya miaka mitano wengi watafaidi na kujijengea msingi wa kujiajiri