Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Wanabidii naomba tutoe hulka ya wananchi ktk majimbo ambayo chadema imeshida ubunge na udiwani ,wana haiba gani, wenyewe ni washindi ,kimaisha elimu ,mali ,kipi wanacho cha tofauti na watu wa majimbo ambayo si ya cdm na wakotayari kuiondoa cdm isipotimiza waliyohaidiwa??nawakilisha