Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
chadema imesambaa nchi nzima kama upepo. kama vichwa sita tu vya wabunge wa chadema walilipelekesha bunge mchakamchaka kwaenye awamuya kwanza ya JK, sembuse vichwa 22 vya sasa. hakika bunge litawaka moto!!! CHADEMA HOYEEEE!!!!!!!!!!!