PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
- Thread starter
- #281
Mi naamini kabisa Slaa alipata wabunge wa kutosha na kura za kutosha kabisa za kuunda serikali, ila yalichakachuliwa ili kuonyesha kwamaba hakupata wabunge wa kutosha,
haya ni baadhi tuu ya majimbo yaliyochakachuli, tujaribu kuyaorodhesha hapa ili tujue Chadema walipata majimbo mangapi kialali.
naanza na haya wajameni........
1. segerea
2.ukonga
3.tarime
4.sumbawanga mjini
5.hanang
6.kilombero
7.kilosa kwa proff wa SUA
8.bokoba mjini
9.kibaha mjini
10.................................
haya ni baadhi tuu ya majimbo yaliyochakachuli, tujaribu kuyaorodhesha hapa ili tujue Chadema walipata majimbo mangapi kialali.
naanza na haya wajameni........
1. segerea
2.ukonga
3.tarime
4.sumbawanga mjini
5.hanang
6.kilombero
7.kilosa kwa proff wa SUA
8.bokoba mjini
9.kibaha mjini
10.................................