witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 678
- 126
jaman leo ilitubidi twende Wizara Ya Elimu sehem ya kwanza nmeanzia kwa Waziri wa Elimu na nilikaa faragha na MKURUGENZI WA ELIMU YA JUU na KATIBU MKUU ILI KUJUA NI VIPI WATU WAMEKOSA HUKU HANA WAZAZI ,KACHAGUA COURSE ZENYE PRIORITY imechukuwa saa 5 kukamilisha mazungumzo MAJIBU NDIO HAYA{1}YATIMA ANA HAKI YA KUDAI APEWE MKOPO{2),PRIORITY COURSE INABIDI WAPEW MKOPO (MKURUGENZI WA HESLB AMETAKIWA KUPELEKA MUHTASARI NI JINSI GANI AMETOA MKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU JUU na pia swala la ku-appeal nmelkataa kwakuwa watu wengi hatuna pesa za REGISTRATION na hapo kasema anatuma muhtasari kwa KATIBU MKUU WA WIZARA YA ELIMU ILI WAWEZE KUTATUA TATIZO HILI sasa tumekubaliana tutawasiliana baada ya siku 2 hivyo kasema niwambie Watanzania wote waliokosa MKOPO wasubiri maana ni lazima wafuate utaratibu il wawez kupangilia takwimu maana idadi ni kubwa ya wanaohtaj hiyo mikopo ila kaongezea VIPAUMBELE VYA TAIFA INABIDI WAPEWE MIKOPO ILI WAPATE KUSOMA mfano,EDUCATION{science$arts),DOCTOR{MIFUGO$WANADAM),nk zaid 0759824023