Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,421
- 2,271
Je hili ni tatizo la client ama contractor?Nashindwa kuweka post kwa sababu bado naona kuwa huu ni wizi tu na sijui ni nani alaumiwe; $1.2m ni nyingi sana kwa ujenzi wa nyumba hizo nilizoona sehemu mbalimbali. Tatizo la nchi yetu ni kuwa watu hangalia bei za nyumba huko Marekani na kuzitumia kupanga bei za hapa Tanzania!!