imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,052
Mimi mpaka nimeamua kuita wachimbaji wa Borehole drilling na nimepata maji matamu bila chumvi.Wana JF mnaoishi sehemu zenye uhaba wa maji, hebu tuelezeni basi sehemu zenu ni zipi na hampati maji kkwa ukawaida
Sasa hivi natengeneza swimming pool ili niwe najipoza huku nikiburudika na Bia bardiii.
Maisha mafupi sana haya.
Na huenda nikafungua kiwanda cha maji siku za usoni nataka kuvuta mkopo wa Kiisilamu wenye riba nafuu iliyofichwa fichwa.