hatamimi nashawishika angali Sura ya liwalo na liwe utaunga mkonoPinda alimu acknowledge rasmi kuwa yeye ndiyo Mwenyekiti ya Kamati ya Ufundi na yeye ni katibu
hatamimi nashawishika angali Sura ya liwalo na liwe utaunga mkonoPinda alimu acknowledge rasmi kuwa yeye ndiyo Mwenyekiti ya Kamati ya Ufundi na yeye ni katibu
Kwa hiyo anakanusha nini hapo? Aliyesimama bungeni alikuwa Maji marefu feki?
Wanye makosa ni wale waliochagua mchawi kuwa mbunge.
....
lakini alisema madaktar wasimtibu ULIMBOKA wao si wamegoma?????
Sasa kama anasema alinukuliwa vibaya alinukuliwa na nani???na alitaka watu wamnukuu vipi,maana it waz live show kwakweli jaman,na hao waandish kama wamekubali kuhubiriwa bila kumhoj zaidi?????
absolutely, wananchi waliomchagua wana tatizokubwa sana,mie sielewi walikuwa wanawaza nini????!!!!!
huo mkono labda akatibiwe india, akiupeleka kwa madokta aliowatukana.....!
Ivi uyu jamaa alipataje ubunge? Kweli CCM lolote SILLY lawezekana. Maana hadi gagula (mchawi aliyekubuhu) anapata ubunge!! Tusiendelee kumjadili, tutampa "big head"; maana inaelekea amekuja na style yake ya kutafuta umaarufu.
Bongo , bado sana , si huyo mchawi tu..bali wasaniii wa bongo fuleva na taarab kibao bungeni...ndio maana asilimia kubwa ya bajeti inaishia kwenye uendeshaji wa serikali tu na si shughuli za maendeleo
Ndo tatizo la kili ndogo kwenda ongoza akili nyingi,. Mganga wa kyenyeji huyu lake ramli hajitambui hata bungeni kaenda kufanya nini,.