ukimwangalia kwa makini utagundua anamajini bado.
Anaomba msamaha wa nini.yeye aendelee kusimamia kauli yake tu.kwani alipotoa kauli hiyo hakutumia kichwa au alizungumza kwa kutumia makalio.
Shangaa. Halafu analipwa mshahara mara 10 ya mshahara wa hawa akina Dr Ulimboka.yaani mpaka bunge letu lina waganga wa kienyeji...haki ya nani tutafika kweli?
Wanye makosa ni wale waliochagua mchawi kuwa mbunge.