Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Huu unaoitwa ukame ni wa kutengeneza ili kumfurahisha globalist, Tanzania haijawahi kukumbwa na uhaba wa maji kwa kiasi hiki.
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa Global Warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa Global Warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!