Meking
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 222
- 45
Sasa hivi halijambo
Duuh, ndiyo maana nikiwa na stress tu breki ya kwanza jf!! Jukwaa lolote tu, kucheka siyo mpaka mmu...
Sasa hivi halijambo
Ha ha ha,kweli jf raha
Majambazi yamekamatwa??
Duh! kaaaazi kweli kweli majambazi wameshasepa
muda mreeefu ndo police wanaingia :hat::hat::hat:
Haujui kabisa maana ya ''feedback'' wewe! Hicho ulichoeleza wala hakina uhusiano na hilo neno ''feedback.'' Kama hujui maana halisi ya neno ni bora na busara kutolitumia kabisa kwenye maongezi au maandishi yako. Watu wengine bwana.
sasa kwa akili yako kuna mtu alikuwa anaripoti tukio la ujambazi live hapa? Mijitu mingine bwana.
Kumbukumbu zangu zinaniambia jamana house kuna benki ya CBA, sikumbuki kama kuna benki ya NBC.
Benki ya NBC iko karibia na Tazara next to Willy enterprises.
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya CBA iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya CBA iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
bank gani? leo hawakuwa na mabomu?
bank gani? leo hawakuwa na mabomu?
Mabomu yaliishia kwenye mikutano ya siasa!!! Chezeiya polisi wa Tz!!!
Ni CBA wakubwa iko pale maeneo ya Jamana, sijui jamaa mabomu waliweka wapimabomu yaliishia nyololo kwa mwangosi, sa mbaka waombe nchi wahisani wawachangie tena