Majambazi yanafanya ujambazi benki mida hii

Kwakuwa Jamana house iko karibu na quality plaza ambapo kuna askari pale 24 hrs wanaolinda benki ya CRDB nilitarajia hadi muda huu kuambiwa kwamba wamejitokeza kupambana na majambazi hao wanaopora jamana house.
Kama hiyo haitoshi just opposite na jamana house kuna kituo kidogo cha polisi Brush ningetarajia hadi wakati huu wawe wamefika eneo la tukio kupambana na majambazi hao, lakini hadi sasa sijasikia taarifa zozote za polisi kufika eneo la tukio.

Mkuu polisi wetu kwenye vitu kama hivyo sio wakutegemea ku react!
 
kiswahili rahisi ni msamihati unaomaanisha marejesho, mwitiko, majibu ya utekelezaji wa maazimio, majibu...
kwa dhana hiyo unataona mleta hii "thread" alikua anatoa taarifa tu ya kile alichokisikia redioni na sio kwamba alikuwepo eneo la tukio.
Pili, laiti kama wewe ndio ungekuwa umemtuma katika eneno la tukio, au ungekuwa ni kiongozi wa majambazi basi bila shaka ungekuwa katika nafasi ya kuhitaji hiyo "feedback" ya tukio tajwa.
Nadhani tupo pamoja...

...Tuko Pamoja Mkuu. Lakini je, hudhani kwamba ile tu kwa Muanzilishi wa Uzi kuuweka hapa ni sawa na kufanya Kitendo ambacho mwitiko ama marejesho yetu kwake yanaweza kuwa hayo ya kutaka taarifa za Ziada kuhusu alichoweka hapa bila kujalisha kama tulimtuma?

Ninadhani kuwa hii pia ndio Kanuni mojawapo ya JF. Ukifanya kitendo cha Kuweka Thread hapa basi unategemea Mwitiko ama Marejesho kutoka kwa wanaJF, iwe ni kwa maswali, ushauri, pingamizi na hata kebehi dhidi ya ulichokiweka hapa.

Lugha inapaswa kunyumbulika kadri ya mahitaji ya Jamii inayoitumia. After all, PAKA inaweza kuwa na maana ya Paka rangi ama Paka mnyama,inategemea tu na sentesi husika na uelewa wa jamii husika. Tuko Pamoja Mkuu.
 
...Tuko Pamoja Mkuu. Lakini je, hudhani kwamba ile tu kwa Muanzilishi wa Uzi kuuweka hapa ni sawa na kufanya Kitendo ambacho mwitiko ama marejesho yetu kwake yanaweza kuwa hayo ya kutaka taarifa za Ziada kuhusu alichoweka hapa bila kujalisha kama tulimtuma?

Ninadhani kuwa hii pia ndio Kanuni mojawapo ya JF. Ukifanya kitendo cha Kuweka Thread hapa basi unategemea Mwitiko ama Marejesho kutoka kwa wanaJF, iwe ni kwa maswali, ushauri, pingamizi na hata kebehi dhidi ya ulichokiweka hapa.

Lugha inapaswa kunyumbulika kadri ya mahitaji ya Jamii inayoitumia. After all, PAKA inaweza kuwa na maana ya Paka rangi ama Paka mnyama,inategemea tu na sentesi husika na uelewa wa jamii husika. Tuko Pamoja Mkuu.

Umeshaelekezwa, acha ubishi. Hiko unachoongelea wewe siyo 'feedback' ni 'development.' Watu wengine bwana.
 
Live inatumika mara zote kwa matukio yanayorushwa na TV au Radio. Kwa matukio ambayo hayarushwi na TV au Radio inakuwa ni kichekesho eti kusema live. Bora hata angesema ''Happening now'' ingeleta maana. Watu wengine bwana.

Sasa wewe ndo hujui live inatumika hata kwenye websites/blogs/forums wakati wa mpira utaona websites za bbc na sky wameweka live football meaning jinsi mpira unavoendelea wanatangaza so usianze kubisha kitu ambacho huna uhakika nacho
 
Umeshaelekezwa, acha ubishi. Hiko unachoongelea wewe siyo 'feedback' ni 'development.' Watu wengine bwana.


...Si Bure. Umeamka Vibaya Weye Leo halafu Hasira zako Unazihamishia JF, which definitely is not the One responsible for your getting up on the Wrong Side of Your Bed! Do Run... and find the One responsible for that and take it on Him. Peace!:yawn:
 
Sasa wewe ndo hujui live inatumika hata kwenye websites/blogs/forums wakati wa mpira utaona websites za bbc na sky wameweka live football meaning jinsi mpira unavoendelea wanatangaza so usianze kubisha kitu ambacho huna uhakika nacho

Acha kupotosha uma..
 
954714150.png
Hata sisi tunaweza kutuma data
attachment.php
 

Attachments

  • Islamic Law.jpg
    Islamic Law.jpg
    118.2 KB · Views: 266
Sasa wewe ndo hujui live inatumika hata kwenye websites/blogs/forums wakati wa mpira utaona websites za bbc na sky wameweka live football meaning jinsi mpira unavoendelea wanatangaza so usianze kubisha kitu ambacho huna uhakika nacho

sasa kwa akili yako kuna mtu alikuwa anaripoti tukio la ujambazi live hapa? Mijitu mingine bwana.
 
...Tuko Pamoja Mkuu. Lakini je, hudhani kwamba ile tu kwa Muanzilishi wa Uzi kuuweka hapa ni sawa na kufanya Kitendo ambacho mwitiko ama marejesho yetu kwake yanaweza kuwa hayo ya kutaka taarifa za Ziada kuhusu alichoweka hapa bila kujalisha kama tulimtuma?

Ninadhani kuwa hii pia ndio Kanuni mojawapo ya JF. Ukifanya kitendo cha Kuweka Thread hapa basi unategemea Mwitiko ama Marejesho kutoka kwa wanaJF, iwe ni kwa maswali, ushauri, pingamizi na hata kebehi dhidi ya ulichokiweka hapa.

Lugha inapaswa kunyumbulika kadri ya mahitaji ya Jamii inayoitumia. After all, PAKA inaweza kuwa na maana ya Paka rangi ama Paka mnyama,inategemea tu na sentesi husika na uelewa wa jamii husika. Tuko Pamoja Mkuu.

Nadhani neno muafaka kwa kimombo ambalo ulipaswa kulitumia, ni "updates", mathalani ungesema "more updates please!!", kuonesha una shauku na tukio zima lililotukia.
 
Back
Top Bottom