EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Katika hali ya kustaajabisha, maiti za watoto wanaokadiriwa kuwa na umri wa siku moja au zaidi, zinazofikia idadi ya 11, zimefukuliwa katika shimo moja, jirani na maeneo ya hospitali ya Mwananyamala mcha wa leo!!. Tukio hilo limevuta hisia za watu wengi eneo hilo na kustaajabisha watu wengi. Hadi sasa haijajulikana maiti hizo zilizikwa hapo na nani na wazazi ni akina nani. kwa habari ya kina, fuatailia gazeti la Uwazi kesho hapa mtandaoni.
Piacha ziko hapa: http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/maiti-za-vitoto-zaidi-ya-10
Piacha ziko hapa: http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/maiti-za-vitoto-zaidi-ya-10