beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 6
Nimkanganyiko, hao watoto wazaz wao ni kina nani? Wako wapi? Na unawezaje kupata watoto hao wote kuwaua na kuwazika pamoja?something wrong hapo mwananyamala hosp. So sad! Tumuombe Mungu maadiili ya kazi yanazd kuporomoka hata kama umasikini hii hapana.health personel weng hawana maadili