baada ya kupimwa na kupewa majibu nimegundulika nina VVU mwilini mwangu.............
mwanzoni ilinipa tabu kidogo ila nilijikaza kiume kuukubali ukweli..huwa ni mtu nisiyependa kuregret in life hasa inapotokea nimeshapoteza kitu.................bado ni kijana; mwanaume mwenye sifa zote.educated.nina biashara zangu zinazoniingizia kipato cha kawaida...........
ila nawaasa ndugu zangu kwamba muda wowote siku yeyote you can be a victim........hakuna anayejipa ugonjwa huu...
nilikua na mtu niliyemrespect na kumuamini kupita kiasi....tulijenga utaratibu wa kucheki afya zetu kila baada ya miezi sita na hii ilisaidia sana kujua afya yangu mapema....mwenzangu alianza kuweka sababu na visingizio nikawa napima peke yangu hadi nilipoujua ukweli...sikumwambia!! huyu mwenzangu tayari tumetengana baada ya kuwa tunapishana sana kauli na vitendo lakini si kwa sababu ya status niliyo nayo maana sikumwambia.......
naendelea na biashara zangu happily n healthier wala hakuna anaefahamu.....
nafeel guilty kuingia kwenye new relationship na binti ambaye ni negative....natumai wote wangekua kama mimi huu ugonjwa tungeutokomeza kabisa...lakini haipo ivyo...........
ombi langu mwisho kabisa ni kuweza kumpata binti anaenikubali na hali yangu hii preferably positive!!
usinipe pole......
2014 Update:
asanteni wapendwa.Hii thread niliipost hapa mwaka 2012
Mungu ni mwema alinitimizia haja ya moyo wangu.Nilimpata mwenzangu,kwa sasa tunaishi pamoja
Natumai nitakua nimejibu inboxes zote.
mwanzoni ilinipa tabu kidogo ila nilijikaza kiume kuukubali ukweli..huwa ni mtu nisiyependa kuregret in life hasa inapotokea nimeshapoteza kitu.................bado ni kijana; mwanaume mwenye sifa zote.educated.nina biashara zangu zinazoniingizia kipato cha kawaida...........
ila nawaasa ndugu zangu kwamba muda wowote siku yeyote you can be a victim........hakuna anayejipa ugonjwa huu...
nilikua na mtu niliyemrespect na kumuamini kupita kiasi....tulijenga utaratibu wa kucheki afya zetu kila baada ya miezi sita na hii ilisaidia sana kujua afya yangu mapema....mwenzangu alianza kuweka sababu na visingizio nikawa napima peke yangu hadi nilipoujua ukweli...sikumwambia!! huyu mwenzangu tayari tumetengana baada ya kuwa tunapishana sana kauli na vitendo lakini si kwa sababu ya status niliyo nayo maana sikumwambia.......
naendelea na biashara zangu happily n healthier wala hakuna anaefahamu.....
nafeel guilty kuingia kwenye new relationship na binti ambaye ni negative....natumai wote wangekua kama mimi huu ugonjwa tungeutokomeza kabisa...lakini haipo ivyo...........
ombi langu mwisho kabisa ni kuweza kumpata binti anaenikubali na hali yangu hii preferably positive!!
usinipe pole......
2014 Update:
asanteni wapendwa.Hii thread niliipost hapa mwaka 2012
Mungu ni mwema alinitimizia haja ya moyo wangu.Nilimpata mwenzangu,kwa sasa tunaishi pamoja
Natumai nitakua nimejibu inboxes zote.